↧
Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi
↧
KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA
Kwa wanamichezo ni kama kumpa moyo mchezaji mwenzie au kama pongezi.
Hapa ni rais Bush akimpongeza mchezaji wa timu ya taifa ya volleyball ya Marekani.
Hapa ni kocha wa timu ya taifa ya Cameroon
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Gazeti la Championi kutoa picha ya beki wa Mbeya City, Juma Nyosso akionekana kumfanyia ndivyo sivyo straika wa Simba, Elias Maguri, makubwa yameibuka.
Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na kulikemea kwa nguvu huku wakilishukuru gazeti hili kwa kutoa picha hizo kwa kuwa Watanzania na jamii nzima imejua ‘uchafu’ ambao unafanyika kwenye Ligi Kuu Bara.
Evans Aveva ambaye ni rais wa Simba, amesema tukio hilo lililotokea wakati wa mechi baina ya timu hizo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, ni la kidhalilishaji na kudai matukio kama hayo yanapingwa kwa nguvu zote na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
“Sijui sana kuhusu maadili ya uandishi wa habari lakini Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linatakiwa kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji kama hao.“Kimsingi suala hili la kuchapishwa picha za tukio alilofanyiwa Maguri katika Gazeti la Championi siwezi kulizungumzia kitaaluma.
“Lakini tunakikemea vikali kitendo hicho, kwani tumesikitishwa sana. Hii ni changamoto kwa TFF na klabu kuhakikisha tunakwenda sambamba na teknolojia, tusisubiri mpaka ripoti za waamuzi ndipo tufanye maamuzi.
“Mfano ni suala la Suarez alipomng’ata mchezaji wa Italia, Fifa ilimfungia baada ya kutumia teknolojia na haikutumia ripoti ya waamuzi pekee. Matukio mabaya yamejitokeza kwa (Amissi) Tambwe, (Emmanuel) Okwi na Maguri, pia huko daraja la kwanza ndiyo usiseme.
“Ninavishukuru vyombo vya habari kwa kuweza kuibua mambo hayo ili yaweze kuchukuliwa hatua na kukomeshwa kabisa,” alisema Aveva. Akizungumzia tukio hilo, Maguri alikuwa na haya ya kusema: “Kwanza nikwambie tu ile ishu imenidhalilisha sana kwa watu wengi maana imekuwa ‘topic’ kubwa katika mitandao ya kijamii. Kwa hiyo mimi binafsi na familia tunalichukulia kama tukio baya sana kwangu kwani limetudhalilisha.
“Siwezi kuliacha hivihivi, lazima nilichukulie hatua lakini kwa vile TFF na wahusika wengine wameliona, ninasubiri kwanza kuona hatua gani watachukua, kama sitaridhika nazo ndipo nitakapojua nini cha kufanya.“Nashukuru mpigapicha wenu kwa kuwa alifuatilia na kuliona tukio vizuri japokuwa ni la aibu.”
Kitendo cha Juma Nyosso ni cha kipuuzi na sio cha kiungwana.
↧
↧
DEMOCRACY YA BONGO HIYO
↧
WAZIRI DKT. MAGUFULI AKAGUA BARABARA MKOANI MBEYA.
aziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli amekagua barabara mkoani Mbeya na kuahidi ujenzi wa kiwango cha lami, barabara ya Mpemba-Isongole yenye urefu wa KM 58 Wilayani Ileje.
Akizungumza mara baada ya kufungua sehemu ya barabara ya lami wilayani humo kati ya Isongole hadi Itumba KM 9, Waziri Magufuli amesema Serikali itaijenga kwa kiwango cha lami barabara ya Mpemba-Itumba KM 58, ili kufungua fursa za uchumi wilayani Ileje na kuhakikisha barabara hiyo inaungana na nchi ya malawi kwa lami na kuhuisha sekta ya uchukuzi na biashara baina ya nchi hizo.
“Barabara ya lami ni muhimu kujengwa katika Wilaya ya Ileje ili kukuza uchumi wa wananchi ambao wana mazao mengi yanayohitaji usafiri wa uhakika kufikia masoko”, amefafanua Dkt. Magufuli.
Waziri Magufuli amezungumzia umuhimu wa kuiunganisha Wilaya ya Ileje na mtandao wa barabara unaoanzia Bukoba –Biharamulo- Uvinza-Mpanda-Sumbawanga- Tunduma-Mpemba-Isongole hadi Chitipa nchini Malawi ambapo ikikamilika kwa lami itafungua ukanda muhimu wa biashara na kukuza uchumi wa nchi.
Amehimiza umuhimu wa Wilaya ya Ileje kutumia fedha za mfuko wa barabara kujenga barabara za lami ili kurahisisha huduma za usafiri na kuvutia wataalam wengi kufanyakazi na kuishi wilayani humo.
“Hakikisheni mnafanyakazi kwa umoja na mshikamano kwa kuepuka majungu na rushwa ili mfikie malengo na mwaka huu tutawapa shilingi milioni 721 kwaajili ya barabara”, amesisitiza Waziri Magufuli.
Awali Waziri Magufuli alikagua mizani ya Mpemba wilayani Momba na kuhimiza wafanyakazi wa mizani hiyo kufanyakazi kwa weledi na uadilifu kwa kuzingatia elimu walizonazo na hivyo kujiepusha na vitendo vya rushwa ili kutenda haki kwa wasafirishaji na kulinda barabara zinazojengwa kwa gharama kubwa.
Naye Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe amesema barabara ya Mpemba hadi Isongole itakayojengwa kwa kiwango cha lami ilikuwa barabara ya Wilaya lakini kutokana na umuhimu wake Serikali imeipandisha hadhi kuwa ya mkoa na tayari upembuzi yakinifu kuhusu ujenzi wa barabara hiyo umekamilika.
Naye mkuu wa wilaya ya Ileje Rosemary Sinyamule amemhakikishia Waziri Magufuli kuwa Wilaya hiyo ina upungufu wa barabara za lami hivyo ujenzi wake utavutia watumishi kuishi na kufanya kazi katika wilaya hiyo inayopakana na nchi za Malawi na Zambia na kuhuisha fursa za uchumi zilizomo wilayani humo.
Zaidi ya KM 11,154 za barabara za lami zinajengwa nchini kote ambapo inatarajiwa hadi mwishoni mwa mwaka huu Tanzania itakuwa na jumla ya barabara za lami zenye urefu wa KM 18,000 zinazounganisha mikoa na nchi jirani.
Mwisho.
Imetayarishwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Ujenzi
↧
BABY SHOWER YA PRISCA CAPITOL HEIGHTS, MARYLAND NCHINI MAREKANI
Prisca na Elius wakiwa katika picha ya pamoja na watoto katika sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.
Prisca na Elius wakipokea zawadi kwenye sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland.
Elius na Prisca wakipata chakula.
Prisca akipata ukodak moment na wageni wake.
Watoto wakitoa baraka kwa watoto wenzao watarajiwa.
Prisca akilisha keki Elius.
Elius akimlisha keki Prisca.
Prisca akimnyweshwa shampeni Elius.
Elius amkimnywesha shampeni Prisca.
↧
↧
Tangazo la Misa ya Mrs Theonestina Rweyemamu - New York

Shughuli itafanyika tarehe 1 Februari, 2015 siku ya jumapili, kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi na mbili jioni.
Anuani : 40 East Sidney Avenue, Mount Vernon NY 10550 (COMMUNITY ROOM).
Wote mnakaribishwa.
Asante
Mungu wetu azidi kukubariki na wewe.
Doris Rweyemamu
↧
SHEREHE YA UTARAJIO WA MTOTO YA MARRISA SILVER SPRING, MARYLAND NCHINI MAREKANI.
Mama kijacho Marrisa katika picha ya pamoja na Randy ambaye ndiye baba wa mtoto katika sherehe yao ya utarajio wa mtoto wao iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.
Farida akimtunza Salma minoti kwenye sherehe ya utarajio wa mtoto ya Marrisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani. Marrisa amelelewa na Salma tangia alivyokua mdogo.
Nargis Ameir akisherehesha sherehe hiyo ya utarajio wa mtoto ya Marrisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Mkutano wa Beijing unaendelea kuleta mafanikio sasa Bi Mariam Mashaka ni Dj na ndiye aliyetoa burudani ya muziki kwenye shsrehe hiyo ya utarajio wa mtoto ya Marrisa.
Bi Baybe Mgaza akipata ukodak wa kumbukumbu.
Wageni waalikwa katika picha ya pamoja.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
↧
ZULIA JEKUNDU NA VOICE OF AMERICA WASHINGTON, DC
↧
MAONYESHO YA TANZANIA BUILDEX INTERNATIONAL TRADE EXHIBITION YAFIKA TAMATI
Na Andrew Chale
Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya Jumamosi Januari 31, 2015.
Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya kigeni kutoka falme za kiarabu ya S.K.M Air Conditioning LLC na wadau wengine yameshirikisha makampuni zaidi ya 50, ya ndani na nje ya Tanzania ambapo wameonyesha bidhaa zao hizo pamoja na kuuza.
Baadhi ya makampuni yaliyoshiriki kwenye maonesho hayo ni pamoja na kampuni ya huduma za internet ya Simba Net (T) LTD, TRADEX Corporation, Choice International wasambazaji wa bidhaa za Lontor, ISTSL Limited, Rehoboth, Fairy Delights, Afri Vision, Dello Enterprises Ltd wasambazaji wa vifaa vya SKF, SATA Ltd, na mengine mengi.
Makampuni hayo ni yale ya bidhaa za ujenzi, vifaa vya magari, vitu vya ndani, bidhaa za viwandani, maofisini na sehemu mbalimbali pamoja na makampuni ya bidhaa tofautitofauti.
Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya Jumamosi Januari 31, 2015.
Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya kigeni kutoka falme za kiarabu ya S.K.M Air Conditioning LLC na wadau wengine yameshirikisha makampuni zaidi ya 50, ya ndani na nje ya Tanzania ambapo wameonyesha bidhaa zao hizo pamoja na kuuza.
Baadhi ya makampuni yaliyoshiriki kwenye maonesho hayo ni pamoja na kampuni ya huduma za internet ya Simba Net (T) LTD, TRADEX Corporation, Choice International wasambazaji wa bidhaa za Lontor, ISTSL Limited, Rehoboth, Fairy Delights, Afri Vision, Dello Enterprises Ltd wasambazaji wa vifaa vya SKF, SATA Ltd, na mengine mengi.
Makampuni hayo ni yale ya bidhaa za ujenzi, vifaa vya magari, vitu vya ndani, bidhaa za viwandani, maofisini na sehemu mbalimbali pamoja na makampuni ya bidhaa tofautitofauti.
CEO wa TRADEX Corporation, Frank A.P.M Bruurs, akionesha wateja (hawapo pichani) namna ya bidhaa zao zinazopatikana Netherlands na Ujerumani- s-Hertogenbosch. wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City.
Direct Sales Agent wa SimbaNET, Lilian Godfrey (kushoto) akiwa na Deusdedit Msafiri wa SimbaNET, wakiwa kwenye maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City.
Direct Sales Agent wa SimbaNET, Lilian Godfrey akionesha moja ya huduma za SimbaNET FIBER, wanazotoa, wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City.
Maofisa wa ITS Limited, kutoka India na Tanzania, wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City.
Managing Director wa Dello Enterprises Ltd, Daniel Kirahi ambao ni wasambazaji wakuu wa bidhaa za SKF za mitambo ya mashine, magari na vifaa vya viwandani, akionyesha moja ya bidhaa hizo, kwenye maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City .
Custormer Support Executive wa kampuni ya SME Ltd wa bidhaa za SATA, Waqas Ahmed akinesha bidhaa za kampuni hiyo kwenye maonesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition, Mlimani City.
↧
↧
Waziri Fenella Mukangara kufunga Mashindano ya Proin Women Taifa Cup leo
Hatimaye leo fainali ya Proin Women Taifa Cup itafanyika katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi kwa kuzikutanisha timu za Pwani na Temeke huku Mshindi wa Kwanza katika Michuano hiyo ataondoka na Kitita cha Shilingi za Kitanzania Milioni 3 huku mshindi wa Pili akiondoka na Milioni 1 na Mshindi wa Tatu akiondoka na Kitita cha Milioni 1.
Mashindano ya Women Taifa Cup ni mashindano ya kwanza kufanyika Nchini Tanzania huku yakiwa yamedhaminiwa na Kampuni ya Proin Promotions na Azam.

Katika fainali hiyo mashabiki wataingia Bure huku mechi hiyo ikirushwa live na Azam TV.
Mgeni rasmi katika Fainali hiyo ni Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mh Dkt Fenella Mukangara ambae atafunga mashindano hayo katika dimba la Azam Complex ambapo mechi hiyo ya fainali itaanza kutimua vumbi saa 10:15 Jioni huku Jonesia Rukyaa refarii mwenye beji ya fifa ndiye atakepuliza kipenga akisaidiwa na Hellen Mduma, Agness Alphonce na Mwanahamisi Matiku huku kamisaa wa fainali hiyo anatarajiwa kuwa Ingridy Kimaro.
Katika Mechi ya Kumtafuta mshindi wa tatu timu ya Ilala itamenyana na Kigoma ambapo mchezo huo utaanza saa 8 Mchana.
↧
TRADE WINDS MISSION TO AFRICA- EVENT FEBRUARY 3, 2015

Date: Tuesday, February 3, 2015
Time: 6:00 to 8:00 p.m.
Topic: Trade Winds Africa – U.S. Africa Trade
Location: Embassy of Ethiopia, 3506 International Drive, NW, Washington,
DC 20008 (Note: Parking is limited)
Metro Stop: Van Ness UDC (Red Line)
H.E. Ambassador Girma Birru of Ethiopia along with Their Excellencies
Ambassador Robinson Njeru Githae of Kenya and Ambassador Liberata Mulamula
of Tanzania, and The Virginia – Washington, DC District Export Council
(DEC), cordially invite you to a networking reception at the Embassy of
Ethiopia on Tuesday, February 3rd from 6 to 8 PM.
This event will give you the opportunity to network with U.S. trade
officials and members of the African diplomatic community, and to hear the
latest opportunities and momentum around U.S.-Africa trade including
important announcements about Trade Winds Africa, the largest ever U.S.
government-led trade mission to Africa.
http://trade.gov/dbia/tradewinds-africa/index.asp
Due to Embassy security, pre-registration is required for each attendee
and is non-transferable. Admission to the event will not be granted to
attendees or their guests who have not pre-registered. If you bring a
guest you MUST register them. Also note that parking is limited so please
plan accordingly. The nearest Metro stop is Van Ness-UDC which is several
blocks from the embassy.
There is no cost to attend.
Inquiries:
Please e-mail Olga.Ford@trade.gov. Via phone Olga can be reached at
703-235-0070 Additional inquiries: info@isi-consultants.com
Please proceed with online registration below.
http://www.isi-consultants.com/dec-networking-series
Kindest regards
Paul Mwafongo
↧
Weekly Address: A Path Towards a Thriving Middle Class
In this week’s address, the President described the progress our economy has made, laying a foundation for a future that prioritizes middle-class economics. January 31, 2015.
↧
DIAMOND, ZARI NDANI YA RUVUMA HUKU SHEREHE YA MIAKA 38 YA CCM AINOGESHA VILIVYO




↧
↧
MIAKA 38 YA CCM YATIA FORA MJINI SONGEA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiiingia uwanja wa maji maji akiwa juu ya gari.
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria.
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akiongoza shughuli wakati wa maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM ambayo kitaifa yamefanyika Songea mkoani Ruvuma.
Diamond akiimba pamoja na Abdul Msimbano na bendi ya TOT kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM mjini Songea.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikwagua gwaride la chipukizi.
Vijana wakiangalia picha ya Hayati Abeid Aman Karume ,Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Msanii Diamond akiwaburudisha maelfu ya watu waliofurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM ambazo kitaifa zimeadhimishwa mkoani Ruvuma.
↧
INCOME TAX SERVICES
Seruwage Consulting and CPAs specializing in providing quality bookkeeping, accounting, tax and consulting services. We offer a comprehensive Bookkeeping, Accounting, Tax and Consulting Services with the inside knowledge only accountants can provide. Contact us at info@seruwagecpas.com or 301-613-5165.
If You Work, The Earned Income Tax Credit Can Work For You!
The Earned Income Tax Credit has helped workers with low and moderate incomes get a tax break each year. Four out of five eligible workers claim EITC, but the IRS wants everyone who is eligible to claim this credit. Here are some things you should know about this valuable credit:
• Review your eligibility. If you worked and earned under $52,427, you may qualify for EITC. If your financial or family situation has changed, you should review the EITC eligibility rules. You might qualify for EITC this year even if you didn’t in the past. If you qualify for EITC you must file a federal income tax return and claim the credit to get it. This is true even if you are not otherwise required to file a tax return. Don’t guess about your EITC eligibility.
• Know the rules. You need to understand the rules before you claim the EITC, to be sure you qualify. It’s important that you get this right. Here are some factors you should consider:
o Your filing status can’t be Married Filing Separately.
o You must have a Social Security number that is valid for employment for yourself, your spouse if married, and any qualifying child listed on your tax return.
o You must have earned income. Earned income includes earnings from working for someone else or working for yourself.
o You may be married or single, with or without children to qualify. If you don’t have children, you must also meet age, residency and dependency rules. If you have a child who lived with you for more than six months of 2014, the child must meet age, residency, relationship and the joint return rules to qualify.
o If you are a member of the U.S. Armed Forces serving in a combat zone, special rules apply.
• Lower your tax or get a refund. The EITC reduces your federal tax and could result in a refund. If you qualify, the credit could be worth up to $6,143. The average credit was $2,407 last year.
• If you do your own taxes, the best way to file your return to claim EITC is to Efile. Software will figure your taxes and EITC for you. Combining e-file with direct deposit is the fastest and safest way to get your refund.
The Earned Income Tax Credit has helped workers with low and moderate incomes get a tax break each year. Four out of five eligible workers claim EITC, but the IRS wants everyone who is eligible to claim this credit. Here are some things you should know about this valuable credit:
• Review your eligibility. If you worked and earned under $52,427, you may qualify for EITC. If your financial or family situation has changed, you should review the EITC eligibility rules. You might qualify for EITC this year even if you didn’t in the past. If you qualify for EITC you must file a federal income tax return and claim the credit to get it. This is true even if you are not otherwise required to file a tax return. Don’t guess about your EITC eligibility.
• Know the rules. You need to understand the rules before you claim the EITC, to be sure you qualify. It’s important that you get this right. Here are some factors you should consider:
o Your filing status can’t be Married Filing Separately.
o You must have a Social Security number that is valid for employment for yourself, your spouse if married, and any qualifying child listed on your tax return.
o You must have earned income. Earned income includes earnings from working for someone else or working for yourself.
o You may be married or single, with or without children to qualify. If you don’t have children, you must also meet age, residency and dependency rules. If you have a child who lived with you for more than six months of 2014, the child must meet age, residency, relationship and the joint return rules to qualify.
o If you are a member of the U.S. Armed Forces serving in a combat zone, special rules apply.
• Lower your tax or get a refund. The EITC reduces your federal tax and could result in a refund. If you qualify, the credit could be worth up to $6,143. The average credit was $2,407 last year.
• If you do your own taxes, the best way to file your return to claim EITC is to Efile. Software will figure your taxes and EITC for you. Combining e-file with direct deposit is the fastest and safest way to get your refund.
If you have questions call me at 301-613-5165.
Iddi Sandaly, CPA
↧
SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM ZAFANA SANA MJINI SONGEA LEO

Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais JakayaMrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais JakayaMrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete wakipokea gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya MrishoKikwete wakipokea gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikweteakihutubia maelfu ya wananchi uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Msanii Diamond akipongezwa na chipukizi wa UVCCM baada yakutumbuiza katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songe Mjini Dkt Emmanuel Nchimi nan Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
PICHA NA IKULU
↧
Lissu alipuka bungeni
Sakata la uchotwaji wa zaidi ya Shilingi bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, limeibuka tena bungeni na kuzua malumbano makali baina ya Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali, George Masaju na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu (Anayeongea kwenye Video).
Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa wanaochota fedha za umma wanaishia kujiuzulu bila ya kushtakiwa lakini watu wadogo aliowaita dagaa ndiyo wanaofikishwa mahakamani.
“Watu wanafanya makosa makubwa dhidi ya umma hakuna hatua inayochukuliwa, waheshimiwa wabunge mnaweza mkauliza, lini mtu amewahi kuwajibika, nani kachukuliwa hatua, yupi amefungwa, tunajua wanajiuzulu ili wakafaidi matunda ya wizi wao, sheria zetu zinasema wajiuzulu, wafilisiwe, washitakiwe na wakipatikana na hatia wafungwe, nani ameshitakiwa, kufilisiwa au kufungwa?
Alisema wanaoshtakiwa ni wadogo hili ndilo tatizo kubwa na mfano mzuri ni hii habari ya Escrow.
Alieleza kuwa licha ya Bunge kumwondoa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuwafukuza mawaziri, waliochukuliwa hatua ya kufikishwa mahakamani ni watu wadogo waliopewa milioni 80, huku wale waliogawana mabilioni ya fedha wakidunda mitaani.
Kuhusu majaji, alisema waliohusika na sakata hilo Bunge liliazimia wawajibishwe, lakini inashangaza kuona kuwa hata Rais Jakaya Kikwete, hajawachukulia hatua kwa madai kuwa lazima majaji hao waanze kuchukuliwa hatua na mahakama, huku akishangaa nani anayemshauri Rais masuala ya kikatiba na sheria.
Kufuatia madai hayo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Masaju alisimama na kutoa taarifa, ambapo alisema kuwa suala hilo lilishatolewa mwongozo bungeni kwamba mambo ya Escrow yapo mahakamani na hayapaswi kujadiliwa, huku pia kanuni za Bunge zikielekeza kuwa suala likishajadiliwa bungeni halipaswi kurudi tena hadi baada ya mwaka mmoja.
“Maazimio ya Bunge lako ni kwamba serikali ilete taarifa ya utekelezaji maazimio kabla ya kumalizika kwa Bunge la Bajeti lakini hata kabla halijaanza, lakini pia kanuni zinakataza kumhusisha mheshimiwa Rais kujenga hoja kwa namna ya kejeli, kwa hiyo mimi naomba kushauri kuwa tunapopata fursa ya kuchangia tujikite kwenye hoja yetu na tutumie lugha ya staha kwa sababu ndivyo kanuni zinavyoelekeza,” alisema Masaju.
Baada ya taarifa hiyo Lissu aliongeza kuwa ameipata taarifa ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye alimwita mrithi wa Werema (Jaji Fredrick Werema, huku akimweleza kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Hatua hiyo ilisababisha Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu kusimama na kumtaka Lissu kutotumia lugha za vijembe badala yake ajenge hoja ili wananchi waelewe ujumbe alioukusudia.
“Humu ndani tupo wabunge ambao tunategemea kwanza kanuni tuzichunguze lakini pia vile vile na namna ya kushughulikia hivi vijembe haviwezi kukubalika, jikite kwenye hoja,” alisema Lissu.
Akiendelea na mchango wake, Lissu alisema hoja yake siyo kumkejeli Rais isipokuwa ni kutaka kuona dhana ya utekelezaji ikifanyika ili kuepusha taifa kuingia kwenye hasara kila mwaka.
“Kama mnataka tufute uchafu huu unaoendelea serikalini, Bunge hili tuanze kuwashughulikia mawaziri na wale wote wanaojihusisha na ubadhirifu wa mali za umma, tuwakamate na kuwafilisi na kuwashitaki hawa walioiba mabilioni haya,” alisema Lisu.
Kwa mara nyingine Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Masaju alisimama kuomba mwongozo na kumtaka Lissu kuendelea kuheshimu mihimili mingine kwa kutozungumzia mambo yaliyo mahakamani.
Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa wanaochota fedha za umma wanaishia kujiuzulu bila ya kushtakiwa lakini watu wadogo aliowaita dagaa ndiyo wanaofikishwa mahakamani.
“Watu wanafanya makosa makubwa dhidi ya umma hakuna hatua inayochukuliwa, waheshimiwa wabunge mnaweza mkauliza, lini mtu amewahi kuwajibika, nani kachukuliwa hatua, yupi amefungwa, tunajua wanajiuzulu ili wakafaidi matunda ya wizi wao, sheria zetu zinasema wajiuzulu, wafilisiwe, washitakiwe na wakipatikana na hatia wafungwe, nani ameshitakiwa, kufilisiwa au kufungwa?
Alisema wanaoshtakiwa ni wadogo hili ndilo tatizo kubwa na mfano mzuri ni hii habari ya Escrow.
Alieleza kuwa licha ya Bunge kumwondoa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuwafukuza mawaziri, waliochukuliwa hatua ya kufikishwa mahakamani ni watu wadogo waliopewa milioni 80, huku wale waliogawana mabilioni ya fedha wakidunda mitaani.
Kuhusu majaji, alisema waliohusika na sakata hilo Bunge liliazimia wawajibishwe, lakini inashangaza kuona kuwa hata Rais Jakaya Kikwete, hajawachukulia hatua kwa madai kuwa lazima majaji hao waanze kuchukuliwa hatua na mahakama, huku akishangaa nani anayemshauri Rais masuala ya kikatiba na sheria.
Kufuatia madai hayo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Masaju alisimama na kutoa taarifa, ambapo alisema kuwa suala hilo lilishatolewa mwongozo bungeni kwamba mambo ya Escrow yapo mahakamani na hayapaswi kujadiliwa, huku pia kanuni za Bunge zikielekeza kuwa suala likishajadiliwa bungeni halipaswi kurudi tena hadi baada ya mwaka mmoja.
“Maazimio ya Bunge lako ni kwamba serikali ilete taarifa ya utekelezaji maazimio kabla ya kumalizika kwa Bunge la Bajeti lakini hata kabla halijaanza, lakini pia kanuni zinakataza kumhusisha mheshimiwa Rais kujenga hoja kwa namna ya kejeli, kwa hiyo mimi naomba kushauri kuwa tunapopata fursa ya kuchangia tujikite kwenye hoja yetu na tutumie lugha ya staha kwa sababu ndivyo kanuni zinavyoelekeza,” alisema Masaju.
Baada ya taarifa hiyo Lissu aliongeza kuwa ameipata taarifa ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye alimwita mrithi wa Werema (Jaji Fredrick Werema, huku akimweleza kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Hatua hiyo ilisababisha Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu kusimama na kumtaka Lissu kutotumia lugha za vijembe badala yake ajenge hoja ili wananchi waelewe ujumbe alioukusudia.
“Humu ndani tupo wabunge ambao tunategemea kwanza kanuni tuzichunguze lakini pia vile vile na namna ya kushughulikia hivi vijembe haviwezi kukubalika, jikite kwenye hoja,” alisema Lissu.
Akiendelea na mchango wake, Lissu alisema hoja yake siyo kumkejeli Rais isipokuwa ni kutaka kuona dhana ya utekelezaji ikifanyika ili kuepusha taifa kuingia kwenye hasara kila mwaka.
“Kama mnataka tufute uchafu huu unaoendelea serikalini, Bunge hili tuanze kuwashughulikia mawaziri na wale wote wanaojihusisha na ubadhirifu wa mali za umma, tuwakamate na kuwafilisi na kuwashitaki hawa walioiba mabilioni haya,” alisema Lisu.
Kwa mara nyingine Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Masaju alisimama kuomba mwongozo na kumtaka Lissu kuendelea kuheshimu mihimili mingine kwa kutozungumzia mambo yaliyo mahakamani.
↧
↧
YANGA, NDANDA ZATOKA SULUHU UWANJA WA TAIFA LEO
Beki Hasifiwi: Beki wa timu ya Yanga,Rajab Zahir akiruka juu kuondoa hatari iliyokuwa ikielekea langoni kwao katika mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya 0-0. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Beki wa timu ya Yanga,Rajab Zahir akiwania mpira na Jacob Massawe wa Ndanda.
Nadir Haroub wa Yanga akijaribu kuondosha hatari ilikuwa langoni kwake.
Dan Mrwanda wa Yanga akitafuta namna ya kumtoka beki wa Ndanda,Paul Ngalema.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Mshambuliaji Machachari wa timu ya Ndanda,Masoud Ally akitoa pasi maridadi kabisa mbele ya beki wa timu ya Yanga,Juma Abdul wakati wa mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya 0-0.
Mrisho Ngassa wa Yanga akiondoka na mpira huku akifuatwa na Beki wa Ndanda,Paul Ngalema wakati wakati wa mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya 0-0.
Nyanda wa timu ya Yanga,Ally Mustafa akiwa makini kulilinda lango lake.
Mshambuliaji wa timu ya Ndanda,Omega Seme akiangalia namna ya kumtoka Beki wa Yanga,Oscar Joshua mtanange wa ligi kuu Tanzania Bara,uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mechi hiyo imemalizika kwa suluhu ya 0-0.
Hapiti mtu hapa: ni kama anaonekana kusema beki wa timu ya Ndanda,Paul Ngalema wakati akimdhibiti Mshambuliaji wa Yanga,Simon Msuva.
ajali kazini.
Hatariiiii paleee....... daaahh.... wanakosa goli Yanga hapaaa....
Kocha wa Timu ya Yanga,Hans Van Der Pluijm akifanyiwa mahojiano na Mtangazaji wa Michezo wa Radio Clouds,Issa Maeda.
Chombo kiko tayari kwa kazi.
Wadau uwanjani.
Washabiki wa timu ya Ndanda wakiishangilia timu yao. Picha kwa hisani ya Michuzi Blog.
↧
Maisha Kitendawili - Muumini Mwinjuma jikumbushe na hii maisha kitendawili
↧
KIPAJI CHA AINA YA PEKEE
↧