NBAA NA ZIAAT ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KWA MIAKA MINNE
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil akishuhudia utiaji saini kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania...
View ArticleWANANCHI NJOMBE WAOMBA WIGO WA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME UONGEZWE.
Na mwandishi wetu -NjombeWananchi wa vitongoji mbalimbali vya Mkoa wa Njombe wameiomba Serikali kuongeza wigo wa miradi ya kusambaza umeme ili iweze kutekelezwa katika vitongoji vyote.Wakizungumza...
View ArticleWAWILI WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KUKUTWA NA NYARA YA SERIKALI.
Na John Walter -BabatiMahakama ya Wilaya ya Babati leo Mei 20, 2025 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kumuua pundamilia na kumiliki nyara za...
View ArticleNYONGO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA NCHINI UBELIGIJI
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Nyongo amewasili nchini Ubeligiji kuongoza ujumbe wa Tanzania katika Kongamano la Bajeti la Umoja wa Ulaya linalofanyika mjini...
View ArticleRAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AMKARIBISHA RAIS WA JAMHURI YA NAMIBIA MHE....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es...
View ArticleECOBANK TANZANIA YAUNGA MKONO MKUTANO WA MWAKA WA USHAURI WA BODI YA USAJILI...
 Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega (katikati) akimkabidhi cheti Mkuu wa Kitengo cha Biashara kwa Wateja Wakubwa (Commercial Banking) Joyce Ndyetabura (kushoto) cha udhamini wa Mkutano wa Mwaka wa Ushauri...
View ArticleDCEA YATEKETEZA MASHAMBA YA BANGI EKARI 157 KONDOA, WATUHUMIWA 7 WAKAMATWA
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wa Kata ya Haubi, wamefanikisha operesheni maalum ya...
View ArticleMAKAMANDA WA POLISI WAFANYA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania, CP Awadhi Juma Haji, ameongoza Makamanda wa Polisi wa Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara—mikoa inayopitiwa na miundombinu ya...
View ArticleWATANZANIA TUENDELEE KUMTUNZA MDUDU NYUKI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani kwenye viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, Mei...
View ArticlePRESIDENT SAMIA SULUHU HASSAN: A LEADER COMMITTED TO JUSTICE AND DEMOCRACY
By Japhari SaidiSince assuming office in 2021, Her Excellency President Samia Suluhu Hassan has demonstrated exceptional leadership grounded in justice, reconciliation, and democratic values. Her bold...
View ArticleRC MANYARA ABORESHA TAARIFA ZA MPIGA KURA BABATI
Na John Walter -Babati, ManyaraMkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, leo Mei 22, 2025, ameboresha taarifa zake za mpiga kura katika mtaa wa Babati, kata ya Babati, na kusisitiza umuhimu wa kila raia...
View ArticleDKT. MPANGO: CHANGAMOTO ZA NJAA NA UMASKINI ZINAHITAJI MAJIBU YA PAMOJA YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema ili kudhiti janga la njaa na umasikini pamoja na kuharakisha maendeleo ya vijijini, ni vema mataifa kushirikiana kwa...
View ArticleWIZARA YA ARDHI KUFANYA MABORESHO YA MAENEO CHAKAVU, USALAMA WA MILKI NA...
Zaidi ya viwanja 556,191 vimepimwa, mipaka ya vijiji 871 imehakikiwa, mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 846 imeandaliwa, na Hati za Hakimiliki za Kimila 318,868 zimesajiliwa katika kipindi cha...
View ArticleDKT. JINGU AHIMIZA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA MALEZI
Na WMJJWM- Mwanza.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amewataka Wataalam wa Sayansi ya Malezi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kutumia...
View ArticleDKT. TULIA APONGEZA MAFUNZO YA SAMIA LEGAL AID JIJINI MBEYA
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo na Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe....
View ArticleMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ HEMED SULEIMAN ANDULLA AJUMUIKA NA...
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amewataka waumini wa dini ya kiislamu kwa kila mwenye uwezo kwenda kutekeleza ibada tukufu ya Hijja Nchini Makka Saudia Rabia.Ameyasema...
View ArticleRAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA KWA NJIA YA MTANDAO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA...
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji wa Global Fund Bw. Peter Sands kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Mfuko huo na Tanzania.Rais wa...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI OSAKA JAPAN
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi walioambatana nae katika safari ya Japan ambako atamwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hssan...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TAIFA NA RAIS DKT.SAMIA SULUHU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi...
View ArticleTCAA YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA KUHUSU TEHAMA NA AKILI BANDIA
Mkaguzi wa Ndege Nyuki kutoka TCAA, Bw. Ibrahim Abdallah akiwasilisha mada ya ufahamu wa ndege zisizo na rubani wadau mbalimbali wa IT wakati wa kongamano la Tatu la Umoja wa Vijana wa Teknolojia ya...
View ArticleMBOGGO ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA TANGA KUPITIA CHAMA CHA ACT-...
Katibu wa Chama cha ACT -Wazalendo Wa Jimbo la Tanga Mohamed Salim Ponda (kushoto) akimkabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea Ubunge Jimbo la Tanga mwanachama wao John Charles Mboggo (katikati)...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMEFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA, UWEKEZAJI NA...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akifungua Kongamano la Biashara, Uwekezaji na Utalii kati Japan na Tanzania kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Westin, Osaka...
View ArticleTRA YAAGIZWA KUDHIBITI MAGENDO MPAKA WA TUNDUMA
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Momba, Mhe. Condester Michael Sichalwe, alietaka kujua mpango wa dharura wa Serikali wa kudhibiti utoroshaji wa bidhaa...
View ArticleSULUHU YA KUKABILIANA NA KILIMO CHA MIRUNGI YAPATIKANA WILAYANI SAME
DCEA yataja njia sahihi za kukabiliana na athari zitokanazo na dawa za kulevya kama Suluhu ya KudumuPCCB na Sekretariati ya MAADILI ya viongozi wa umma yasisitiza uwajibikaji kwa Watendaji na viongozi...
View ArticleTANAPA WINS THE EU QUALITY CHOICE DIAMOND PRIZE 2025 FOR SIX CONSECUTIVE YEARS
By TANAPA Correspondent in Stockholm, Sweden.TANZANIA National Parks (TANAPA) has once again scooped the prestigious European Quality Choice Diamond award in 2025, for its highest level of tourism...
View Article