Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45985 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB,MATAWI YA MAWENZI NA MBUYUNI MJINI MOSHI WAFANYA...

Wafanyakazi wa Benki ya NMB ,Matawi ya Mawenzi na Mbuyuni wakiwa katika Hospitali ya St,Joseph mjini Moshi kwa ajili ya zoezi la usafi pamoja na kutoa zawadi kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA AFRICAID KUPITIA MRADI WA KISA LAWAKUTANISHA...

Muwasilishaji wa mada katika kongamano lililowajumuisha Wasichana wanaosoma kidato cha tano na sita katika shule mbalimbali mkoani Kilimanjaro, Nyamagesa Laban akizungumza katika kongamano hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOSHI: KIONGOZI CHADEMA APATA AJALI MBAYA YA GARI

KATIBU Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Edward Simbeye amepata ajali ya gari. Simbeye alikuwa akitokea Dar es Salaam kwenda Moshi mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAHIDI DHIDI YA HALIMA MDEE KUMTUSI RAIS KUANZA NOVEMBA 8

Kesi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee anayedaiwa kutumia lugha ya matusi dhidi ya Rais John Magufuli itaanza kusikilizwa Novemba 8 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Usikilizaji utaanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond arekodi wimbo na rapa wa Marekani Rick Ross

By Elizabeth Edward, MwananchiDar es Salaam. Mkali wa bongo fleva Diamond Platnumz ameendelea kupeleka mbali muziki wake kwa kufanya kolabo za kimataifa.Safari hii Diamond ameonekana kuvuka mipaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na  Seneta James Inhofe pamoja na Maseneta wa Baraza la Marekani  walipotembelea na kufanya mazungumzo  Ikulu jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA MABALOZI WA SAUDI ARABIA, IRELAND NA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia Mhe.Mohammed Almalik(kushoto) aliyefika ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar Es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY ATOA MIEZI SITA KUANZISHWA MADAWATI YA ULINZI WA WATOTO SHULENI

 Waziri wa Afya, Maendeleo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy  Mwalimu akizungumza na wananchi wa Tarime mkoani Mara na kutoa miezi sita kwa wakuu wa shule za Msingi na Sekondari kuanzisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGUTA WAWAPATIA UZALENDO KWANZA VIWANJA, NYUMBA MKOANI PWANI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vicoba Tanzania (Viguta) Taifa, Dk. Dauda Salmin (kulia) akishikana mikono na Mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza, Steve Nyerere mara baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DICOTA announces 2017 Young Leader Scholarship Winner

DICOTA announces 2017 Young Leader Scholarship WinnerThe 2017 DICOTA Scholarship recipient is Jose Fabian Kabigumila. Mr. Kabigumila is a senior at Liberty University in Virginia. Mr. Kabigumila is a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI BENKI YA TPB MKOA WA MBEYA WAUNGANA NA WATEJA WAO KUSHEREKEA WIKI...

Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya TPB Mkoa wa Mbeya katika Picha ya pamoja katika sherehe za wiki ya huduma kwa mteja iliyofanyika katika Ofisi Kuu za TPB Mwanjelwa jijini Mbeya na kuhudhuriwa na wadau...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAAJIRI WA WATOTO WAFANYAKAZI WA NYUMBANI JIJINI MWANZA WALAUMIWA.

Mkufunzi wa mafunzo kwa watoto wafanyakazi wa nyumbani katika Kata ya Buhingwa Jijini Mwanza, akifafanua jambo wakati wa mafunzo hayo hii leo. Mafunzo hayo yafanyika kwenye ukumbi kwa kanisa la AICT...

View Article

CHADEMA: SIRRO USITUZUIE KUJADILI SUALA LA LISSU – VIDEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC SHIGELLA AFUNGUA KIKAO CHA RCC LEO MKOANI TANGA

MKUU wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella akifungua kikao cha kamati ya ushauri cha Mkoa huo (RCC) kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS) Mhandisi Zena Saidi akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. William Ole NashaJonas Kamaleki- MAELEZO.Serikali yawataka watanzania kurejesha nchi katika misingi iliyoachwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INTERNATIONAL NIGHT SAFARI DC

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE MKOA WA SHINYANGA OKTOBA...

Mkoa wa Shinyanga umeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha ya siku ya kimataifa ya mtoto wa kike ambayo hufanyika kila mwaka tarehe 11 mwezi Oktoba.Maadhimisho ya  siku ya kimataifa ya mtoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE RITTA KABATI KUKARABATI SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA IRINGA

Mbunge wa viti maalam mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akiwa katika moja ya shule ya msingi akiwa katika ziara ya kutambua changamoto na kuzifanyia kazi ili ziwe na ubora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SIMBA AFUNGUA KIKAO CHA WADAU KUJADILI MABADILIKO YA SHERIA BARABARANI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Wadau wa Usalama Barabarani, kinachojadili mabadiliko ya Sheria ya Usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA BARA UHURU NIGHT AT SAFARI DC

Vijimambo Media & entertainment* invites you to celebrate Uhuru night Sat Dec 9, 2017 at Safari Club DC from 9pm till lateaddress 4306 Georgia Av NW, Washington, DC 20011burudika na muziki kutoka...

View Article
Browsing all 45985 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>