Hii ni hotuba ya rais Obama aliyotoa Ubungo Tanzania juu ya mpango huo wa African Energy Initiative.
Meza kuu ya viongozi wa mkutano huo wakiongea na kujibu maswali juu ya mipango na dhumuni kuu la mkutano huu.
Watu waliojitokeza wakisikiliza kilichokuwa kinaendelea katika mkutano huo, Kama unavyoona mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis ni mmoja kati ya Watanzania waliohuzuria mkutano huo kama anavyoonekana katika picha hii.
Watu waliweza kuuliza maswali na kujibiwa papo kwa hapo.
Jessica Lunjwangana alikuwepo pia
![]()
Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera (kushoto) katika picha ya pamoja na Jessica Lunjwangana
Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera (kushoto) katika picha ya pamoja na Jessica Lunjwangana