Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45981

FBI WASEMA ILE PODA ILIYOLETA TAHARUKI ILIKUA NI WANGA WA MAHINDI

$
0
0
Wataalamu wa maswala ya mabomu wakiwa kazini.

Msemaji wa FBI amesema kibahasha cha poda kilichotumwa kwenye moja ya hoteli iliyopo karibu ya uwanja utakaochezewa Super Bowl siku ya Jumapili ilikua ni wanga wa mahidi ambao hauna madhara yeyote, msemaji huyo aliendelea kusema wanga huo ulitumwa pia kwenye ofisi ya aliyekua meya wa New York, Rudy Giuliani

Bahasha hiyo iliyoleta taharuki leo jioni siku ya Ijumaa Jan 31, 2014 ilitumwa kwenye hotel moja iliyopo karibu na uwanja  utakaochezewa Super Bowl itakayowakutanisha timu ya Seattle na Denver, Poda hiyo mwanzo ilifananishwa na aina ya madini yanayotumiwa kutengenezea mabomu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45981

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>