CUF wakataa maoni na ushauri uliotolewa na msajili wa vyama vya siasa nchini
Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed MazruiTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIImetolewa leo Tarehe -25/9/2016Na NASSOR MAZRUIKAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA IMEKATAA MAONI NA USHAURI ULIOTOLEWA NA MSAJIRI WA...
View ArticleBODABODA MIRERANI WATAKIWA KUJIPANGA KULIPIA LESENI YA USAFIRISHAJI
Mkuu wa Kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ASP Evarest Makala akizungumza juzi na wamiliki na madereva wa pikipiki katika warsha iliyoandaliwa na mamlaka ya udhibiti...
View ArticleIPTL, PAP waungana na Tanesco kupinga kuilipa Standard Chartered
Sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), kugeuziwa kibao kwa kutakiwa kurejesha zaidi ya Dola za Marekani milioni 100 ambazo ni zaidi ya Sh bilioni 216.2 kwa...
View ArticleMsajili wa Vyama: Sikumrudishia Lipumba uenyekiti CUF, Kajirudisha Mwenyewe...
Wakati wanasiasa na wasomi wakimnyooshea kidole Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (pichani) kwa uamuzi wake wa kumtambua aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, mwenyewe...
View ArticleDC KWINGWA ATEKETEZA NYUMBA 120 ZILIZOJENGWA KATIKA HIFADHI
Mkuu wa Wilaya ya Urambo Angelina Kwinga akihutubua wananchi wakati Tigo walipotoa madawati mia moja kanda ya ziwa.Na Mussa Mbeho, Urambo.MKUU wa wilaya ya Urambo Angelina Kwingwa amefanya operesheni...
View ArticleDAR ES SALAAM-THE CITY WILL BE HOST TO THE LARGEST RELIGIOUS GONGREGATION IN...
Ashara Mubaraka are the first 10 days of Moharram, that mark the martyrdom of Imam HusainAS, grandson of Prophet MohammedSAW, that took place fourteen centuries ago. This is a very important religious...
View ArticleSAVE THE DATE POSTER
We are once again planning HMT Annual Fundraising Event 2016 (AFRE16) to be held on 25th November 2016 at Diamond Jubilee (VIP HALL).Our last Annual Fundraising Event (AFRE14) we managed to collect...
View ArticleMBUNGE BONNAH KALUWA ACHANGISHA MILIONI 13.7 UJENZI KITUO CHA YATIMA
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kaluwa akinadi vitu mbalimbali katika harambee hiyo kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo cha kutoa huduma kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu eneo la Tegeta,...
View ArticleERICK MASHAURI AELEZEA JINSI VAT INAVYOATHIRI BIASHARA UTALII
Aiomba serikali kupitia tena ongezeko hiloKufuatia serikali kupitisha muswada wa ongezeko la VAT kwa watalii ambao wanakuja nchini kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali, MO Blog imepata nafasi ya...
View ArticleNANI MKALI WA KUSUKA DAR??? SUKA SUKA YAPIGA HODI KAA CHONJO KAMA WEWE NI MSUSI
#SukaSuka ni jukwaa la Times FM ambalo linavumbua wakali wa kusuka Mtaa Kwa Mtaa kila wiki mara 3. Kwa miezi miwili tumekua tukiingia kitaani kusaka wakali ambao wanaweza kusuka mitindo yote kwa speed...
View ArticleSPIKA NDUGAI ATEMBELEA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwasili Mjini Zanzibar kwa kutumia Boti wakati alipofanya ziara ya kutembelea Baraza la Wawakilishi mapema leo Septemba 2016. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai...
View ArticleRAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MRADI UJENZI WA NYUMBA ZA KISASA FUMBA.
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group Bw.Said Salim Bakhresa alipotembelea Mradi wa Ujenzi wa...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AWASIMAMISHA KAZI MAOFISA MISITU WANNE, APIGA ‘STOP’...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Maofisa Misitu wanne na kusimamisha shughuli za uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Rufiji kwa muda usiojulikana baada ya kutoridhishwa na usimamizi...
View ArticleWANANCHI WAILALAMIKIA TAZARA KWA KUFUNGA BARABARA JIJINI DAR ES SALAAM
Mafundi wa Shirika la Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara), wakikarabati Reli katika makutano ya Reli na Barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam jana. Wananchi wakivusha relini...
View ArticleASWIRA KUTOKA MKUTANO WA BARAZA KUU LA 71 LA UMOJA WA MATAIFA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa katika Mkutano wa Mawaziri wa Nje wa nchi za Jumuiya ya Madola.Waziri Mahiga akibadilishana mawazo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sultanate...
View ArticleSHEREHE YA SIKU YA KUZALIWA YA ZARI ILIVYOBAMBA VISIWANI ZANZIBAR
Diamond Diamond na mpenzi wake Zari.Kutoka kushoto Moses Iyobo, Aunt Ezekiel, Diamond na Zari.Mwanamuziki Diamond akiwa katika mapozi tofauti na mchumba wake Zari na baadhi ya marafiki zao.Mwanamuziki...
View ArticleWAFANYABIASHARA MANUSURA KUCHOMA KITUO CHA ZIMAMOTO
By Suzy Butondo, MwananchiShinyanga. Wafanyabiashara katika soko la nguzo nane Kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga, wamevamia kituo cha jeshi la zimamoto kilichopo katika maeneo ya soko hilo baada...
View Article'PANYA ROAD' WAIBUKA UPYA NA KUTESA WANANCHI MOSHI BAA JIJINI DAR ES SALAAM
Na Dotto MwaibaleKUNDI la uhalifu la watoto wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 25 maarufu kama panya road linatishia usalama wa wananchi na mali zao maeneo ya Moshi Baa na vitongoji vingine katika...
View Article