Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45994 articles
Browse latest View live
↧

Senegal vs Cameroon 0:0 (4:5) 2017 - All Penalty Shotoout RESUME ( CAN 2...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI APIGA MARUFUKU AMRI YA TRUMP KURUDISHA WAHAMIAJI MAKWAO

Mahakama moja ya New York imeridhia ombi la wanaharakati waliokwenda mahakamani kupinga amri za Rais Trump za kupiga marufuku wakimbizi wa Syria na raia wengine wa nchi sita za kiislamu kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: DUNIA YAMPINGA TRUMP BAADA YA MARUFUKU KWA WAISLAMU KUINGIA MAREKANI...

Uamuzi wa Donald Trump kupiga marufuku wahamiaji wa kiislamu kutoka kwenye nchi zenye raia wengi wa dini hiyo, umesababisha hasira kuu duniani kote na wahamiaji wakikataliwa kupanda ndege kuingia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 40 YA KUZALIWA KWA CCM..KONGAMANO...

Chama cha Mapinduzi wilaya ya Shinyanga Mjini katika mkoa wa Shinyanga kimefanya Kongamano ikiwa ni uzinduzi wa wiki ya Maadhimisho ya miaka 40 tangu kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA ATEMBELEAWA NYUMBANI KWAKE NA MFANYABIASHARA SABODO

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mfanyabiashara Maarufu nchini, Mustafa Sabodo ambaye Januari 29, 2017 alikwenda kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es salaam kumtembelea....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POWERFUL PROPHETIC SERVICE IN DMV TODAY

SERVICE IS ABOUT TO SARTMy countdownCountdown.tcw:after { content: ""; display: block; margin-top: 25%; }POWERFUL MAN OF GODPROPHET RICHARD GODWININVITED ALL DMV'ANS.

View Article

MISA YA SHUKURANI DMV

Familia ya Michael na Grace Mnkande, wanapenda kukukaribisha kushiriki katika misa ya shukurani ya marehemu mama yao mpendwa, mama Rose Mnkande itakayofanyika Feb 4, 2017, saa 2:00pm hadi 5:00pm,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:TRENI YA ABIRIA DELUX YAPATA AJALI IKITOKEA KIGOMA KUJA DAR ES...

NA K-VIS MEDIA/Khalfan SaidTRENI ya mwendo haraka, (DELUX), iliyokuwa ikitokea Kigoma kuja jijini Dar es Salaam, imeanguka eneo la Ruvu mkoani Pwani jioni hii ya Januari 29, 2017.Kwa mujibu wa taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BRTHDAY

VICTORIA HANSI WA SAO PAULO. BRAZIL Tmu ya vijimamboblog na wadau wake wanakutakia khery ya siku yako ya kuzaliwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: WAELIMISHAJI CREW WALETA UJUMBE MZITO KWA NJIA YA VIDEO KUHUSU NDOA

Ni simulizi ya kweli inayo lenga kuelimisha jamii kuhusiana na suala la ndoa katika karne ya sasa. Kumekuwa na sababu za hapa na pale zinazo pelekea vijana wengi kuchelewa au kushindwa kabisa kuoa na...

View Article

TASAF YAWAINUA WANANCHI KUICHUMI

Na Mussa Mbeho ,KataviMfuko wa maendeleo ya jamii TASAF Mkoani katavi umesaidia kuwainua kiuchumi wanachi baada ya kuwapatia fedha na kuazisha miradi mbalimbali ya maendeleo katika kaya zao.Wakizugumza...

View Article

HALMASHURI YA NSIMBO YAPITISHA BAJETI YA BIL 24.9

Na Mussa Mbeho,KaTaviBARAZA la madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Nsimbo mkoani katavi limepitisha makisio ya bajeti yake ya maendeleo ya kiasi cha sh 24,886 ,569,000 Kwa ajili ya kufanikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIMBWENDE WA SHINDANO LA MISS KIBOSHO 2017 JIJINI MWANZA APATIKANA.

Baada ya mtifuano mkali wa kumtafuta mlimbwende wa shindano la MISS KIBOSHO 2017 kufanyika kwa mara ya kwanza usiku wa ijumaa Januari 27,2017 na jana jumamosi Januari 28,2017 katika Ukumbi wa Kibosho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA KUTANGAZA JINA RASMI LA KITUO CHA AMANI NA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Viongozi Wakuu wa Mataifa mbalimbali hawapo (pichani) katika Jengo jipya la Kituo cha Amani na Usalama kilichopewa jina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF AKAGUA MRADI WA TASAF KATIKA BONDE LA KIDAU NDAGONI

Mhandisi wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo naUvuvi Pemba Nd.Talib Bakari kushoto akimkaguza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kuangalia Tuta la kuzuia Maji ya Bahari...

View Article


Makonda akabidhiwa jengo la Mwananyamala, asema kwanini anajiweka karibu...

View Article

ALL GOALS: Yanga vs Mwadui FC January 29 2017, Full Time 2-0

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIKIBA YAZINGATIE MALALAMIKO YA MASHABIKI WAKO

Ali Saleh Kiba al maarufu kama Alikiba ni miongoni mwa wasanii wakongwe na wakubwa Tanzania, Afrika Mashariki na pengine Afrika kwa ujumla. Ni mshindi wa tuzo zaidi ya 14 kwa mwaka 2016 ikiwezo tunzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISOMO CHA MPENDWA MAMA JAMILA FUNGAMEZA KILICHOFANYIKA LANGLEY PARK...

'hakika kila nafsi itaonja mauti' kifo kila mmoja atakutana nacho, atapita njia hiyo, ujumbe mzito tujiandae na safari hiyokaka Pius Mutalemwa akiweka ubani kwenye kietezo kumuombea dua marehemu mama...

View Article

MAGAZETI YA LEO JANUARY 30, 2017

View Article
Browsing all 45994 articles
Browse latest View live