JK ATEMBELEA BANDA LA MAMBO YA NJE, SABASABA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete akiwasili kwenye Banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwenye viwanja vya SabasabaRais Dkt. Kikwete akiweka saini kwenye...
View ArticleMAREKANI YA SHEREHEKEA UHURU WAO KWA KUWASHA MAFATAKI USIKU
Ziwa MichiganNew JerseyManhattan, NYBrooklyn, NYMiami, FL
View ArticleJK ALIVYOTEMBELEA MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA TANTRADE LEO
Rais Jakaya Kikwete akiwasili kwenye viwanja vya Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayofanyika kila mwaka kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere Barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam...
View ArticleUZINDUZI WA MASHINE ZA ATM ZA SELCOM ZAFANA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA
Meneja miradi wa kampuni ya Selcom Wireless, Gallus Runyela kulia akiwaelekeza kina mama waliotembelea kutoa pesa wakati wa uzinduzi wa mashine ya ATM ya kampuni hiyo ambazo zinatoa pesa kwa kutumia...
View ArticleMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARIF HAMADI ATEMBELEA...
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mwekiti wa Jumuiya ya Kiislamu ya Muzdalifa wakati alipokwenda kuwatembelea Watoto Mayatima wanaohudumiwa na Jumuiya hio...
View ArticleFIFA yaipa Nigeria siku tatu
Shirikisho la Kandanda la Dunia, FIFA, limeionya Nigeria kwamba itatolewa katika kandanda ya kimataifa iwapo serikali haitalirejesha tena shirika la kandanda la Nigeria, Nigerian Football Federation,...
View ArticleBomu laua wanne nje ya bunge Somalia
Wapiganaji wa Al shabaabBomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia na wengine kujeruhiwa, maafisa wa Polisi wamesema.Habari zanasema bomu hilo lilipiga nje ya...
View ArticleHALI TETE KANISA LA MORAVIANI JIMBO LA KUSINI MAGHARIBI, SASA WATAKA ASKOFU...
Askofu Alinikisa Cheyo anayeshinikizwa kujiuzuru.Mchungaji Edward Chilale, Mwenyekiti wa Baraza la wazee Usharika wa Bethrehemu na mwenyekiti wa kikao kilichotoa tamkoMbeya Yetu
View ArticleUCHAGUZI DMV, USA: Timu Libe for DMV Community President 2014
Na Ebou Shatry/SwahiliVillaHizi ndizo kampeni za Mgombea wa Urais wa Jumuia ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe". Kumekuwa na minog'ono na tuhuma eti "Timu Libe for DMV Community...
View ArticleUondoshaji makontena kinyemela...TRA yaumbua kile ilichoficha TPA
Wakati Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) ikificha sakata la udanganyifu wa kuondoa makontena bandarini jijini Dar es Salaam, Mamlaka ya Mapato (TRA) imeiumbua na kuthibitisha kuwapo na udanganyifu...
View ArticleDREAM AFUNGA NDOA SIKU YA YA UHURU WA MAREKANI NDANI YA MALL-The Boombox
Christopher Polk, Getty ImagesA month after denying felony assault charges against his ex-girlfriend, The-Dream, out of nowhere, gets married during the Fourth of July weekend.The R&B producer and...
View ArticleWIMBO MPYA by CRISS WAMARYA
ningependa kukujuza kua huu ndio wimbo wangu mpya....mwakajana niliachia wimbo usinihukumu ila tangu mwaka umeanza sikubahatika kuachia wimbo kutokana na matatizo ya kidunia kufiwa na mjomba wangu...
View ArticleRAIS KIKWETE AFANYA ZIARA INGINE TENA MAONESHO YA SABASABA LEO JULAI 6, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ambao ni sehemu ya maonesho katika banda la JWTZ kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba...
View ArticleTANGAZO LA MSIBA DMV
Bishop Melchizedek D. Maturlu; Mchungaji kiongozi wa kanisa la Bethel Kingdom hapa DMV anasikikita kutangaza msiba kwa kuondokewa na mdogo wake Focus D.Maturlu. Alifariki Jana jioni kwenye hospitali ya...
View ArticleDIAMOND PLATNUMZ AWASILI KANSAS CITY, KANSAS TAYARI KUWASHA MOTO LIVE LEO USIKU
Diamond Platnumz akiwa Kansas City tayari kwa kuwasha moto leo usiku.Diamond Platnumz (kushoto waliokaa) akiwa na dj wake Dj Romy Jons (kati) na poromota DMK wakiwa katikati ya jiji la Kansas wakiwa na...
View ArticleTANGAZO MAALUM LA KUONGEZA MUDA WA KUCHUKUA FOMU DMV
Bofya soma zaidi upate fomu ya kujaza nafasiFOMU YA KUWANIA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA -WASH-METROWEKA VEMA KWENYE KISANDUKU / VISANDUKU KWA NAFASI UNAZOTAKA KUGOMBEA...
View ArticleNEW YORK TANZANIA COMMUNITY
Ndugu Wanajumuiya,Mkutano wa Wanajumuiya wote utafanyika Jumamosi, tarehe 2 Agosti 2014 kwenye Jengo la Ubalozi address hii 30 Overhill Rd, Mount Vernon, NY 10552 (Pale pale tulipofanyia uchaguzi mwaka...
View Article