
Mchungaji Mtikila leo amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitika na hivi karibuni atalicha bunge hilo maana limechaguliwa kihuni.Nasema hivi wambieni kabisa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.
Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.