Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU ALICHOJIFUNZA BAADA YA KUKUTANA NA YVYONE CHAKACHAKA...

Diamond akiwa na mwanamuziki mkongwe kutoka Afrika Kusini, Yvonne ChakachakaKusaidia watu ambao kweli wanahitaji msaada ni suala la msingi sana kwani wanafarijika na kujiona nao wana watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misa ya Kiswahili - Kusherekea na Kuwaombea Wapendanao (Valentine

 Mapadri kutoka kushoto Fr. Shao, Fr. Leandrah Kimario na Fr. Jean Tambwe wakiongoza misa takatifu ya kiswahili iliyofanyika Baltimore, Maryland ya kuadhimisha miaka 3 ya misa ya Kiswahili DMV  hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROONEY AKUBALI DILI NA MAN UNITED KULIPWA PAUNI LAKI 3 KWA WIKI!

STRAIKA wa Manchester United Wayne Rooney amefikia makubaliano ya Mkataba mpya utakaomweka Old Trafford hadi Juni 2019 na kumlipa Mshahara wa Pauni 300,000 kwa Wiki na kuweka Rekodi Klabuni hapo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONGO NAKO KUNA WAREMBO WAKUPENDEZESHA ULIMWENGU

 MWANAMKE MGUU, NA HASA UKIWA NAO! LPicha na INZY PHOTOGRAPHY

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

P FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWAIR

Majani akiwa kwenye kaburi la NgwairProducer wa Bongo Records, P-Funk Majani wiki hii amelitembelea kaburi la Ngwair mjini Morogoro.Mtayarishaji huyo wa muziki alikuwa anatokea bungeni Dodoma ambako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTIKILA; HILI BUNGE LA KATIBA LIMEJAA WAHUNI NA WASHENZI SIJAWAI KUONA TOKA...

Mchungaji Mtikila leo amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitika na hivi karibuni atalicha bunge hilo maana limechaguliwa kihuni.Nasema hivi wambieni kabisa nimesema hili ni bunge la kihuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HARAMBEE YA KUKAMATWA KWA KENYATA

Kenyatta akiwa na mkewe Juliana siku alipofunga ndoa mwezi march mwaka janaNdugu zangu Watanzania kesho Jumamosi Feb 22, 2014 kuanzia saa 10 jioni (4pm) kutafanyika harambee ya kusaidia kumtoa ndugu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA YA WASANII MBALIMBALI WA MUZIKI NA BONGO MOVIE YAFANYIKA JIJINI DAR...

Mkurugenzi  Mtendaji  Kampuni ya Chief Promotion Amoni Mkoga akitoa hotuba yake wakati wa semina ya wasanii wa Muziki pamoja na bongo movie iliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUAMKO JUU YA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI ARUSHA TAARIFA ZAIDI ZA UHALIFU...

Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi ArushaWananchi Mkoani hapa wameonekana kuwa na muamko zaidi wa Ulinzi Shirikishi baada ya kutoa taarifa mbili zilizofanikisha kukamata misokoto 1,038 ya madawa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK SHEIN AFUNGUA MAABARA YA UTALII

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel leo asubuhi katika ufunguzi wa Maabara za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Viongozi na wanachama wa CHADEMA wakielekea kwenye makumbusho ya Chifu mkwawa kabla ya kuanza kampeni hizoHapa wakitoka kwenye Makumbusho ya Chifu Mkwawa huku hali ya hewa ikiwa ni ya ubishi kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI ACHARUKA , ASIMAMISHA UJENZI WA STENDI YA IGUMBILO MANISPAA YA IRINGA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira, Dk. Binilith Mahenge (Aliyevaa shati la drafti) akiwa na viongozi wa mkoa wa Iringa na wa Manispaa ya Iringa.Ujenzi wa kituo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN UNITED LEO KICHEKO,WALIOFUNGA MAGOLI YOTE HAWA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU HII IMEKAAJE ?

KATUUNI HII IMELETWA KWENU KWA IDHINI YA MDAU WETU MARCO TIBASIMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIADHIBU RUVU SHOOTING KWA MABAO 7 - 0 NDIYO HABARI YA MJINI

Mchezaji wa Yanga, Juma abdul akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Said Madega.Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi akimpiga chenga kipa wa Ruvu Shooting, Abdalah Ramadhan na kuipatia timu yake bao la 3 kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA YASABABISHA HASARA YA MILIONI 400 HALMASHAURI YA ARUSHA

 Halmashauri ya Wilaya ya Arusha Vijijini imepata hasara ya zaidi ya milioni 400 kutokana na mvua zilizonyesha kwa kipindi cha mwaka jana ambapo mvua hizo ziliharibu vibaya baadhi ya miundombinu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA DMV NA TANZANIA

Balozi Fulgence Kazaura enzi ya uhai wakeSima Kazaura anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi kilichotokea leo nchini India. Kama ilivyoada kupeana mkono wa pole na kufarijiana ndio ustaarabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADELA AKIFURAHIA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA MARAFIKI NEW YORK

Adela akifurahia jambo na marafiki katika kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Picha zaidi chiniAdela akipata UkodakUkodakzzzz!  Adela akishikiria pesa alizotunzwa na marafiki zake baada ya kucheza music.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNESS MASOGANGE NDANI YA JIJI LA WABUNGE DOM

USD DOLLAR ZILIZOMWAGA NA MAPEDESHEE WA DODOMA:SHADADI KUTOKA VODACOM MAKAO MAKUU DODOMA AKIWA NA BOSS NGASA MUDA HUU KWENYE KIWANJA CHA KIJANJA MATEI LOUNGE & PUBHUYU NDIYE MMILIKI MATEI LOUNGE...

View Article

Offside Trick - Talaka (2014)

View Article
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>