Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45918

Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani

$
0
0



BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa ni ruksa kufanya hivyo.

Mchungaji Mtikila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP) alieleza kusudio hilo juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, akidai Bunge hilo ni batili kutokana na wajumbe wake kuteuliwa na mtu mmoja ambaye ni Rais Jakaya Kikwete.

Akielezea tishio la mjumbe huyo, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, alisema ni haki yake kufanya hivyo na kwamba mahakama ndiyo itakayotoa uamuzi.
Source: Kamkara E. / Tanzania Daima

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45918

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>