Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45918 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO CCM ILIVYOHITIMISHA KAMPENI JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO

Katibu Mkuu CCM,Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara na Mgombea wa CCM Jimbo la Kalenga wakiingia kwenye Uwanja wa Mkutano Kata ya Nzihi Jimbo la Kalenga,Pia walichukua muda kusalimiana na Wananchi wa Kata ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA WALE WA IRINGA MJINI,MJI WETU NAONEKANA HIVI KATIKA BAADHI YA SEHEMU YA MJI

Upande wa Mlandege.Stendi ya Mabasi Iringa Mjini.Mwonekano wa Majengo mbalimbali Iringa Mjini.(Picha zote na Sanga Festo wa Habari Kwanza Media/Vijimambo Blog)

View Article


Wahitimu wa darasa la saba 2013 wafikishwa kortini kwa kuoana

Mwanafunzi aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

[audio] Mfungwa aliyekuwa akisubiria kifo aachiwa huru - Dakika 90 za Dunia

Picha iliyopigwa na mwanasheria wake, ikimuonyesha Bwn Ford siku ya kwanza kama mtu huru baada ya miaka 30 jela kwa kosa ambalo hakufanya. (picha: theatlantic.com)Wiki hii, mmoja wa wafungwa nchini...

View Article

[video] Spika Sitta: Mtanilaumu bure...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI KALENGA: Mbowe: Nitafia angani

  Inafuatia polisi kupiga marufuku chopa kuruka kesho  NEC: Ruksa endapo hazina nembo, alama ya chamaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Wakati Polisi mkoani Iringa imepiga marufuku helikopta za Chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEONA UTOFAUTI WOWOTE HAPA??

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Nilimshuhudia mume wangu akimbaka mwanangu’

Rehema Saidi akielezea kitendo alichofanyiwa mtoto wake. Picha na Mary Sanyiwa  Kwa ufupiRehema na mumewe Juma Malolo waliishi na watoto wawili; mwenye umri wa mwaka ambaye walimzaa pamoja na mwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani

BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTOFAUTI HAPA NI NINI?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTO MBEZI WAJAA NA KUKATISHA MAWASILIANO

Wakazi wa pembezoni mwa Mto Mbezi wakivuka mto kuelekea upande wa pili. Mto Mbezi unaotembea kuanzia Mbezi Kimara kupitia Makongo juu B mpaka Goba kuelekea Kawe hadi baharini, umekuwa tishio kwa wakazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WANNE WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA JOMO KENYATTA

Watanzania wanne (mwanaume mmoja na wanawake watatu) wamekamatwa na kilo 2.2 za heroin kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA). Watanzania hao waliingia nchini Kenya kupitia Namanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEZI WAIBA MAMILIONI KANISA LA MHUBIRI MAARUFU DUNIANI

Mchungaji Joel Osteen, kiongozi wa kanisa la Lakewood la nchini Marekani.Watu wasiofahamika wameiba pesa za michango kiasi cha shilingi dola laki sita (600,000) za Marekani pamoja na hundi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anelka afukuzwa West Brom

 West Bromwich Albion wamekata shauri la kumfukuza mchezaji mkongwe, Nicolas Anelka kwa utovu mkubwa wa nidhamu, baada ya mpachika mabao huyo kutangaza kwamba anaondoka Hawthorns.West Brom...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA JINSI ROSE NDAUKA ALIVYO KAMILISHA AHADI YAKE, ASAFISHA JIJI LA...

Kutokana na Takwimu iliotolewa miezi kadha iliopita kuhusu Tanzania kuwa nchi chafu huku, Dar es salaam ndo ukiwa mji uliotolewa macho kwa kuwa na uchafu mwingi sana, Kupitia kampuni yake ya Ndauka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE KUTOKA KALENGA,CCM YASHINDA KATA ZOTE 15,MATOKEO ENDELEA HAPA

TUPO Live Kutoka Kalenga Kunakofanyika Uchaguzi wa Mbunge wa Jimbo hilo hii leo.Matokeo ya AWALI nikama Ifuatavyo KATA YA IFUNDA Ambapo Chadema ilikuwa hai kiasi chake Matokeo niliyopokea haya hapa.CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI MCHUNGU: WAPINZANI HAWANA SIFA ZA KUONGOZA NCHI. (A COMPARATIVE ANALYSIS)

Na Paul MakondaSiasa ama chama chochote cha siasa ni zao la falsafa. Kuwa Mwanasiasa bila kuwa na falsafa ama kuwa na Chama cha Siasa ambacho hakina msingi wa falsafa ni kasoro kubwa ambayo hufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA WAPATA AJALI MORO

Wachezaji na viongozi wa tinu ya Yanga, wamepata ajali maeneo ya Mikese nje ya manispaa ya Morogoro kufuatia Bas walilokuwa wakisafilia kupinduka. Katika ajali hiyo hakuna majeruhi wala mtu kufariki....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa Wanawake na Katiba Walipongeza Bunge la Katiba Kuonesha Usawa wa...

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Lilian Liundi wa TGNP Mtandao akizungumza..Na Thehabari.comMTANDAO wa Wanawake na Katiba wenye mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake katika Katiba mpya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY

Missy Temeke From Maryland, USAVijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

View Article
Browsing all 45918 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>