Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45918 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES: MATOKEO YA AWALI YASIYO RASMI KUTOKA VITUO MBALIMBALI UCHAGUZI...

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Ndugu Godfrey Mgimwa akiwa amebebwa juu na wafuasi wa chama hicho usiku huu,kwenye Ofisi za CCM mkoa,huku wakisubiri matokeo rasmi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI POLISI WATAKIWA KUBADILIKA E83A9684

CP Mussa Ali Mussa, akitoa maagizo kwa Wakaguzi wa Polisi wanaoshiriki katika mafunzo ya Miundombinu ya Maadili na mikakati ya kudhibiti rushwa yanayofanyika mjini Dodoma.Wakaguzi wa Polisi kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI SOKOINE MARATHON 2014!!

Na Mwandishi Wetu,  MonduliRAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika msimu wa pili wa mbio za Sokoine zitakazofanyika katika Kijiji cha Monduli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndege ya Malaysia ilibadili mkondo ‘Maksudi’

Marubani wawili waliokuwa wanaendesha ndege ya Malaysia********Mtambo wa mawasiliano wa ndege ya Malaysia iliyotoweka wiki moja iliopita, ulizimwa kwa maksudi.Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMSHAURI YA WILAYA IRINGA YAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO YATIMA

 Wafanyakazi wa shirika la Restless Tanzania, Mwadawa na Amne wakitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa  Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenciana Kisaka juu ya shughuli za shirika hilo.Mkurugenzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA HAPA AJIRA MPYA ZA WAALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA...

          OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM – TAMISEMI)AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14. A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADEN RAGE: SIGOMBEI TENA UONGOZI SIMBA – UCHAGUZI MKUU MEI 4 MWAKA HUU!!

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, jana ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo unaotarajiwa kufanyika Mei 4 mwaka huu.Hata hivyo Rage kabla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WA BUNGE MAALUM WAHITIMISHA ZOEZI LA KUAPA KWENYE BUNGE LA KATIBA

 Mwenyekiti wa i wa Bunge maalum, Mhe.Samwel Sitt akiahirisha bunge hadi Jumatatu mara baada ya zoezi la kuwaapisha wabunge. Wajumbe ambao hawajaapishwa ni wale waliopo nje ya mkoa wa Dodoma kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE MAITE...

 :Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mjumbe Maalum wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Maite Nkoana-Mashabane, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nvhi hiyo Ikulu jijini Dar es salaam leo.Rais Jakaya...

View Article


BENJA AKITANUA BONGO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA DKT. SEIF RASHID AMUWAKILISHA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA...

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid akiwa katika zoezi la ukaguzi wa mabanda mbalimbali yaliyoandaliwa kwa ajili ya kutoa elimu na huduma za mama wajawazito na watoto wachanga katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tahadhari katika uwanja wa ndege Malawi

Ndege ya shirika la ndege la MalawiMamia ya wasafiri wamekwama katika uwanja wa kimataifa wa ndege mjini Blantyre, Malawi baada ya uwanja huo kusemekana kutokuwa salama.Ndege ziliamrishwa kubadili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA FADHILI AWADH AFARIKI

Bondia wa ngumi za kulipwa Fadhili awadh amefariki dunia katika hospital ya Mwananyamala jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa siku kadhaa. Marehemu Fadhili Awadh alikuwa ni miongoni mwa mabondia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN UNITED WACHAPWA 3-0 NA LIVERPOOL

 Hawaamini: Luis Suarez akishangilia bao la tatu alilofunga katika ushindi wa  3-0 uwanjani  Old TraffordPengo kubwa: Liverpool sasa wapo mbele kwa pointi 14 dhidi ya Man United na pointi 4 nyuma ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL YAWAPA RAHA MASHABIKI WAKE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Risasi zinavyotumika kuua raia Tarime

Polisi wakiwa katika Doria  Kwa ufupiMarwa alipatwa na ulemavu wa mguu Oktoba 9, mwaka jana, baada ya kupigwa risasi na polisi kwenye paja.Tarime. Katika Kijiji cha Gomsala, Tarime mkoani Mara yupo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA HUKUWAHI KUONA MOJA KATI YA HEKALU LA SAMUEL ETO'O BASI ONA HAPA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUST IN:CCM YAIBWAGA CHADEMA KALENGA,YASHINDA KWA ASILIMIA 79.4

  Wanakalenga hii leo Wamechagua Mbunge wa Jimbo lao na haya hapa ndio FINAL RESULT,MATOKEO YA JUMLA.CCM wamepata Kura 22908 CHADEMA Wamepata Kura 5800 Chausta 143.CCM imeshinda kwa asilimia 79.4...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPATE NA HII HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA CHADEMA ROSE KAMILI YUKO HOI

Mwenyekiti Mbowe akisikiliza maelezo kutoka kwa Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee, namna ambavyo Mbunge Rose Kamili alikuwa akiendelea kupata matibabu katika hospitali hiyoMbunge wa hadema...

View Article
Browsing all 45918 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>