Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45982

MAXIMO AZUNGUMZA, KUANZA KAZI JUMATATU

$
0
0
Kocha Marcio Maximo akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo katika klabu ya Yanga.
Kocha Marcio Maximo(katikati) akiwa na Kocha msadizi wake pia ni Mbrazili, Leornado Leiva Martins (kulia).
Wanahabari wakimsikiliza Kocha Mkuu wa Yanga Marcio Maximo (hayupo pichani)

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amesema ataanza kazi rasmi klabuni hapo Jumatatu, pia msaidizi wake Mbrazili atakuwa na kazi ya kukuza vipaji.

(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45982


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>