

Tawi limeshafunguliwa na Naibu katibu Mkuu Mh:Mwigulu Nchemba



Wanachama wa CUF waliojisalimisha CCM kwaajili ya Kujiunga na Chama Cha Mapinduzi na Kuachana na CUF,Wao wanadai Wameitumikia CUF lakini hawajawahi Ona jambo lolote kutoka CUF la Maendeleo,Hivyo wameamua kurudi CCM chama cha Watanzania wote.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
kwa picha zaidi bofya soma zaidi





Kundi lingine la Wanachama wapya wa CCM wakiwa kwenye Picha ya Kumbukumbu na Naibu Katibu Mkuu CCM Bara MWigulu Nchemba

Kundi Lingine la Wanachama wapya wakiwa na Naibu Katibu Mkuu na Viongozi wa Chama wilaya katika Picha ya Pamoja


