Dancer wakiongozwa na Moze iyobo,wakifungua pazia la burudani
Wasafi wakifanya vitu vyao kuwachengua mashabiki waliojitokeza kushuhudia Prezeda Diamond akifanya makamuzi ya nguvu kwenye Onesho kabambe alilofanya siku ya Ijumaa jijini Nairobi nchini Kenya.
Weka mbalii na watoto na wala usijaribu nyumbani
Wasafi wakizidi kupagawisha.
Ni hatari bali salama
Mashabiki wakisuuzika na roho zao wakipata kitu kile roho inapenda.
Prezeda wa wasafi akiingia jukwaani
Msanii wa Bongo Flava Diamond akipagawisha Nairobi nchini Kenya.