HAPPY BIRTHDAY
Bariki Mshomi kutoka Minnesota, USA\Timu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa
View ArticleMH:MWIGULU CHEMBA ATIKISA KITETO UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI.
Naibu katibu Mkuu wa CCM-Bara Mh:Mwigulu Nchemba akiwasili eneo la Mkutano wa hadhara Kata ya PARTIMBO kitongoji cha NALANG,TOMON Wilaya ya Kiteto hii leo tar.25.01.2014 kwaajili ya Ufunguzi wa Kampeni...
View ArticleNDEGE YA ZAN AIR YAANGUKA PEMBA
Ndege ya shirika la Zan Air imeanguka Pemba jioni hii ikiwa imebeba jumla ya abiria 19, miongoni mwa abiria hao pia alikuwamo Waziri wa Habari na Katiba wa Zanzibar mhe. Abubakar Kahamis, abiria wote...
View ArticleOPERESHENI PAMOJA DAIMA ILIYOFANYIKA KIGOMA
Viongozi wa Chadema walipokuwa Kigoma kwenye Operersheni Pamoja DaimaWakazi wa Kigoma waliojitokeza kwenye mkutano wa Operesheni Pamoja Daima.CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepasua...
View ArticleUKISIKIA MAJANGA NDIYO HAYA SASA MAMA WA MIAKA 48 ANAVYOVUNJA AMRI YA 6 NA...
Akidhibitisha taarifa hiyo, kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Robert Boaz, alisema mwanamke huyo alikamatwa Januari 8, kufuatia ushirikiano ulioonyeshwa na majirani zake baada ya kupata taarifa ya...
View ArticleHUWEZI KUUITA HUU NI UNYAMA MAANA HATA WANYAMA WANAUPENDO
SIKU zote tumezoea kuona baadhi ya wanasiasa na viongozi wakiwa mstari wa mbele kupinga ukatili, unyanyasaji wa kijinsia na hata kupinga ajira kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 18.Hali hiyo...
View ArticleDIAMOND AIPAGAWISHA NAIROBI, NCHINI KENYA
Dancer wakiongozwa na Moze iyobo,wakifungua pazia la burudaniWasafi wakifanya vitu vyao kuwachengua mashabiki waliojitokeza kushuhudia Prezeda Diamond akifanya makamuzi ya nguvu kwenye Onesho kabambe...
View ArticleDk Kigwangalla hatarini CCM
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla akichangia jambo bungeni siku za hivi karibuni mjini Dodoma. Picha na MaktabaDar es Salaam. Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY
Andrew Sanga wa Houston, TXVijimambo timu wish you Happy birthday and many happy returns of the day.
View ArticleMBEYA CITY YAZIDI KUPAA YAIBANJUA KAGERA SUGAR 1-0 NYUMBANI KWAO
Na Faustine Ruta, BukobaTIMU ya Mbeya City leo imeanza msimu wa pili vyema baada ya kuifungia Kagera Sugar kwenye uwanja wao wa nyumbani kaitaba bao 1-0. Kipindi cha kwanza kilimalizika kikiwa hakuna...
View ArticleHigh School Summer Program
Umoja ShuleSwahili College Readiness AcademyMove past the boundaries of what you think you know about Africa. Explore the fascinating history, economic dynamism, and rich culture of East Africa while...
View ArticleBABY SHOWER YA MANESH NA JORDAN BAISI
wazazi watarajiwa Manesh and Jordan wakipata picha ya kumbukumbu kwenye tafrija ya kutarajia mtoto iliyofanyika Chicago na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marariki Baby shower waliyofanyiwa na marafiki...
View ArticleLIVE KUTOKA JIJI LA ARUSHA,MWIGULU ATIKISA MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA...
Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara Mh;Mwigulu Nchemba ameshawasili Jijini Arusha Mchana huu akitokea Kiteto na Babati kwaajili ya Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani zinazoendelea nchi nzima,Chaguzi hizi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA UKUMBI WA MIKUTANO WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, wakati alipowasili kwenye Kanisa la Mtakatifu Peter...
View ArticleJuan Mata: Nani kapata, nani anapoteza?
By Israel Saria on January 26, 2014Hatimaye washabiki wa Manchester United wamepata kitu cha kushangilia na kujifariji kwa usajili wa Juan Mata kutoka Chelsea baada ya kuanza msimu kwa majanga...
View ArticlePSPF WALIVYO NOGESHA TUZO ZA MABONDIA WA TANZANIA
Meneja Mpango wa Uchangiaij wa hiyari kutoka PSPF ,Mwanjaa Sembe kushoto akimpatia tuzo ya upiga picha bora wa mchezo wa masumbwi pamoja na uhamasishaji mchezo huo Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa...
View Article