Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara Mh;Mwigulu Nchemba ameshawasili Jijini Arusha Mchana huu akitokea Kiteto na Babati kwaajili ya Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani zinazoendelea nchi nzima,Chaguzi hizi ni ndogo kwaajili ya kujaza nafasi za Madiwani waliojiuzulu na wengine kufariki.








kwa picha zaidi bofya soma zaidi





Picha zote na HABARI KWANZA BLOG