HAPPY BIRTHDAY
Ashiraff Mahundi wa New YorkVijimambo timu Wishing you a happy birthday and many more to come.
View ArticleOPERESHENI PAMOJA DAIMA HUKO KILELEMA
Makamanda wakiwa ndani ya ndege kuelekea katika Operesheni Pamoja Daima, Kilelema.Chombo kikiwa angani.Makamanda wakisalimiana na mwenyeji wao wa Kilelema katika Operesheni Pamoja Daima.Wananchi wa...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY
George Mtafungwa From California, USA Timu ya Vijimambo na wadau wote wa Blog hii wanakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa
View ArticleNETWORK YA WATANZANIA WALIO NJE
Welcome to Tanzania Global Network (TGN), a multi-faceted resource created with the intention of enriching the lives of members of the Tanzanian Diaspora. We are a non-profit organization committed to...
View ArticleMAHAKAMA NKASI YAMUAMURU MUME KUJENGA NYUMBA YA MTALAKA WAKE
Maria Tarafa (wa kwanza kushoto) akiwa na watoto wake wanne aliozaa na Ndebile Kazuri akiwa amekaa kwenye kifusi cha sehemu ya nyumba anayokaa, mumewe ameibomoa nyumba hiyo ili kumfukuza eneo...
View ArticleSIMBA YAITOA KAMASI RHINO RANGERS YASHINDA 1-0
Ramadhani Singano 'Mess' (kulia), akishangilia bao pekee aliloifungia timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora katika mchezo uliofanyika leo kwenye...
View ArticleMsekwa, Kisumo wakoleza moto
Pius Msekwa>PICHA MAKTABADar es Salaam. Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye...
View ArticleCall 773-310-9923 For Special Air Fare To/From DAR, Nairobi & Entebbe
ESM Travel 773-310-9923SPECIAL AIR FARES TO & FROM: DAR, NAIROBI & ENTEBBE Email: travelesm@gmail.comCALL NOWSPECIALS SPECIALS SPECIALS
View ArticleAskari Magereza wadaiwa kuua mfungwa
Msemaji wa Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Omary Mtiga.PICHA|MAKTABAMafia. Askari Magereza wanane, wamefikishwa mahakamani wilayani Mafia mkoani Pwani kwa tuhuma za mauaji ya mfungwa.Mbele ya...
View ArticleMAUAJI COLUMBIA MALL NI KUTOKANA NA WIVU WA MAPENZI
Brianna Benlolo, 21, mmoja ya marehemu pamoja na mpenzi wake aliyeuawa nae walikuwa wanafanya kazi kwenye Mall hiyoColumbia.Polisi wametaja majina ya watu watatu waliokufa siku ya Jumamosi January 25,...
View ArticleCHADEMA WAPOKEWA MBEYA KWA MBWEMBWE
Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa akihutubia katika mkutano wa Operesheni Pamoja Daima Mkoani MbeyaMbunge Wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbilinyi akihutubia katika Mkutano wa Operesheni Pamoja Daima...
View ArticlePLUS SIZE CLOTHING SASA ZINAPATIKANA Zurii FASHION BOUTIQUE. KARIBUNI SANA
Wale wateja wetu wa Plus Size tumesikia kilio chenu na sasa Zurii Fashion & Beauty Boutique kuna Stock Mpya kwa ajili yenu Plus Size ladies (wale mlio jaliwa neema hahaha). Size 14-20 sasa...
View ArticleDKT. SHEIN AZINDUA MAADHIMISHO YA YA SHEREHE ZA MIAKA 37 YA KUZALIWA CCM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana,wakati alipowasili katika...
View ArticleKWA WAPENDA MOVIE-A Godfather's Story Part 1 of 2 (Swedish Subs)
The true life story of mafia boss Joesph Bonanno. The story spans from Bonanno's early beginings in Italy, to his conquests in America.
View ArticleBunge la Katiba kizungumkuti
Dar es Salaam. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba bado ina upungufu ambao utaathiri utendaji wa Bunge Maalumu, ambalo huenda likaanza Februari 11 mwaka huu, mjini Dodoma.Sheria hiyo Namba 8 ya 2011,...
View ArticleTBS wafanya operesheni ya kukamata nguo za ndani katika masoko ya Moshi
Mmoja wa wauzaji wa nguo za mitumba katika soko la Meimoria akiwa amejificha chini ya meza ya kuuzia nguo kukwepa askari polisi pamoja na maofisa wa shirika la viwango Tanzania (TBS) wakati wakifanya...
View ArticleSHUKRANI
Ndugu Max Edmund Kafipa wa Ununio Bahari Beach jijini Dar es Salaam inapenda kutoa shukrani kwa ndugu, jamaa, marafiki wote na wakazi wa Ununio walioshirikiana nae katika msiba hadi mazishi ya mke wake...
View ArticleEwura yafungia kituo pekee cha mafuta
Misungwi. Kituo cha kuuza mafuta wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, kimefungwa na Mamlaka ya Udhibiti Nishati na Maji (Ewura) hadi kitakapokamilisha ujenzi wa paa.Kwa mujibu wa barua ya Ewura ya Desemba...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATETA NA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII NA NAIBU...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyarandu na Naibu wake, Mohamed Mgimwa, baada ya...
View ArticleGERMANY PRO HOLOCAUST EDUCATION
United Nations Information Centre (UNIC), National Information Officer, Usia Nkhoma-Ledama delivering a message from the UN Secretary General’s to commemorate the victims of the Holocaust of 1933.By...
View Article