Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45994 articles
Browse latest View live

MAGAZETI YA LEO JUNE 24, 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMBI YA VIJANA NA WATOTO 'ARIEL CAMP 2017' YAFUNGWA JIJINI MWANZA

Kambi ya Watoto na Vijana “Ariel Camp” iliyoandaliwa na shirika la Ariel Glaser Pediatric Aids Healthcare Initiative (AGPAHI) linalojihusisha na mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AFUTURISHA MISIKITI MINNEJIMBONI KWAKE,WAISLAMU WILAYA YA HAI WAMTUNUKU...

Mbunge wa Jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Helga Mchomvu wakati wa Futari ya pamoja iliyoandaliwa na Mbunge huyo katika miskiti minne tofauti.Baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUFTI MKUU WA TANZANIA AWASILI MKOANI KILIMANJARO KWA AJILI YA SWALA YA EID...

Mufti wa Tanzania,Sheakh Abubakary Zubery akiwa katika lango la kutokea eneo la watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) alipowasili jana mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya...

View Article

WAZIRI MWAKYEMBE AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI NAHODHA WA SERENGETI BOYS

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI KUHUSU ONGEZEKO LA IDADI YA WATU

                 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb)        Benny Mwaipaja, WFM, DodomaSerikali imeeleza kuwa pamoja na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali ikiwemo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yusuf Manji asitisha mpango wa kuliendeleza eneo la ufukwe wa Coco Beach

Yusuf Manji amesitisha mpango wa kuliendeleza eneo la ufukwe wa Coco baada ya Rais Magufuli kuagiza libaki kwa ajili ya matumizi ya wananchi.Hapo chini kuna tamko lake (Libonyeze Kuyakuza Maandishi)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atoa Zawadi ya Idd El Fitri Yenye Thamani ya Mil. 10.9.

 Kamishna Msaidizi katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Simon Panga akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi ya Idd El Fitri kwa niaba ya Rais Dk. John Magufuli  kwaVituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

2017 Miss Tanzania-USA: Venue Announcement

We are exactly 30 days away from the 5th Anniversary of the Miss Tanzania-USA pageant. This annual event has consistently, and persistently taken place every year since 2013; Therefore, to ensure that...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUJAAZ WAWAFUNDA WAANDAAJI WA MASHINDANO YA EAST AFRICA CUP 2017

Mkuu wa utafiti wa Kampuni ya Well Told Story,Dkt Anastasia Mirzoyants akitoa maelezo kwa washiriki wa Warsha iliyoandaliwa na  Mradi wa Shujaaz  iliyofanyika Hotel ya Uhuru mjini Moshi.Baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RBF- Kuondoka na Watendaji Wazembe

Serikali imesema haita wavumilia watendaji watakaoshindwa kusimamia ipasavyo mradi wa Malipo kwa Ufanisi katika kuboresha utoaji wa huduma za Afya “Results Based Finance” (RBF) ambao hivi sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUNZO YA SIKU TANO KWA MADAKTARI YALIYOANDALIWA NA WCF YAFUNGWA JIJINI DAR...

Mkurugenzi Mkuu wa WCF, Bw. Masha Mshomba, akimkabidhi Dkt.Kezia, cheti cha ushiriki wa mafunzo ya tathmini ya ajali na majeraha kwa mfanyakazi aliyeumia wakati akitekeleza majukumu yake mahala pa...

View Article

Lulu Diva - Utamu (Official Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanachama wa CUF ya Lipumba ‘wawabadilikia’ waandishi

Wanachana wa CUF wanaomuunga mkono mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba walijikuta wakizozana wao kwa wao muda mfupi baada ya mwenyekiti huyo kumaliza...

View Article

MAGAZETI YA LEO JUNE 25, 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME MKOANI RUKWA

` NA RIPOTA MAALUMWATU wasiojulikana wamechoma msitu wa Kirando wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa ambao umeunguza miundombinu ya umeme ya Shirika la umeme Nchini TANESCO.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILLIAM KUNDA TATE AFANYWIA SHEREHE YA KUINGIA CHUO KIKUU

 William Kunda Tate ( Tshirt Blue) akiongea machache kuwashukuru wazazi na wageni wote waliofika nyumbani kwao Laurel, Maryland siku ya Jumamosi June 24, 2017 kushereheka pamoja nae kuhitimu maosmo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FARAJA ISINGO AKAMATA NONDO "DUAL MASTERS DEGREE"

Faraja Isingo akiingia ukumbini Hampton Inn College Park, Maryland siku ya Jumamosi June 24, 2017 kujipongeza na kushereheka baada ya kukamata nondoz za Dual Masters Degree  za Masters of  Business...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HONGERA AMAN MOSHI KWA KUKAMATA NONDOZ

 Aman Moshi akipata ukodak moment baada ya kukamata nondoz aliposhereheka yeye na familia yake, ndugu, jamaa na marafiki nyumbani kwake Bowie, Maryland siku ya Jumamosi June 24, 2017. Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA KAMILI YA EID EL FITR LEO JUMAPILI DMV

EID MUBAARAKAssalamu Alaykum Rahmatullaahi Waarakaatuh Kwa mujibu wa Misikiti ya maeneo ya DMV, leo in sha Allah ni siku ya Eid El Fitr.Kwa niaba ya uongozi wa TAMCO, Tunapenda kuwapa mkono wa Eid, na...

View Article
Browsing all 45994 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>