WABUNGE WA VITI MAALUMU CCM MKOA WA DAR, WAFANYA ZIARA KUHAMASISHA WANACHAMA...
Kiongozi wa Wabunge wa Viti Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela kairuki, akizungumza na Viongozi na Wanachama wa UWT...
View ArticleDMF YATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WAKAZI WA MAGOMENI KAGERA JIJINI DAR
Mratibu wa Matukio ya Kijamii wa Taasisi ya Doris Mollel, Alice Mwakatika akikabidhi sehemu ya vyakula kwa mmoja wa wakazi wa eneo la Mpakani Kata ya Ndugumbi, Magomeni Kagera jijini Dar es salaam...
View ArticleSALA YA EID EL FITR DMV LEO
Polisi akielekeza Magari sehemu ya maegesho siku ya Jumampili June 25, 2017 siku Waislaam Watanzania wa DMV walipojumuika pamoja na Waislam wenzao kwenye sala ya Eiid el Fitri iliyofanyika kwenye...
View ArticleMBUNGE WA VITI MAALUMU CATHERINE MAGIGE AWAKUMBUKA WATOTO YATIMA NA WALE...
Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi mkoa wa Arusha Catherine Magige akimkabidhi mkurugenzi na watoto wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Faraja orphance kilichopo jijini hapa,kituo...
View ArticleMASHAURI 18 YA MADAI YA KODI YA ARDHI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.1...
Mwakilishi wa Kamishna wa Ardhi Msaidizi Kanda yaKaskazini, Ardhi Mwandamizi Thadeus Riziki akizungumza nawaandishi wa habari kuhusu Baraza la Ardhi Mkoani Tanga kupokea mashauri 18 yenye thamani ya...
View ArticleSHEAKH MKUU WA TANZANIA ,ABUBAKARY BIN ZUBERY ASHIRIKI FUTARI ILIYOANDALIWA...
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakichukua Chakula wakati wa hafla fupi ya Futari iliyoandaliwa na Benki ya Azania na kufanyika ofisi za Bakwata mkoa wa Kilimanjaro.Sheakh Mkuu wa Tanzania ,Mufti Abubakary...
View ArticleTADB: “TENDEENI HAKI MAFUNZO YA UKOPESHAJI KATIKA KILIMO”
Na mwandishi wetu,Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewataka wahitimu wa mafunzo ya Kanuni za Ukopeshaji katika Kilimo kuyatendea haki mafunzo hayo kwa kutumia utaalamu walioupata katika...
View ArticleMKAKATI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA MATUMIZI BORA YA ARDHI WAKAMILISHWA.
Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi(NLUP) Dkt.Stephen Nindi akizungumza kwa ufupi hatua iliyofika kabla ya kwenda kukabidhi rasimu hiyo katika vyombo vya juuMkurugenzi...
View ArticleMBUNGE MUSSA AWATAKIA WANANCHI WA JIMBO LAKE KUONGEZA UZALISHAJI
MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku amewataka wananchi heri ya sikukuu ya Eid El Fitri huku akiwataka kujiandaa na ujio wa fursa ya mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka hoima nchini...
View ArticleGlobal TV Online Yawakumbuka Watoto Yatima Sikukuu ya Eid El Fitr
Kiroba cha mchele kikishushwa kwenye gari la Global Tv Online waliotoa msaada huo kwenye Kituo cha Kulelea Yatima, Umra, kilichopo Magomeni,jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Sikukuu ya Iddi...
View ArticleSHEREHE ZA EID EL FITR DMV ILIYOANDALIWA NA TAMCO YAFANA
Mwenyekiti wa TAMCO (Jumuiya ya Waislamu DMV) Bwn Ally Mohamed akitoa salamuza Eid El Fitr kwa Waislam na marafiki zao DMV kwenye sherehe ya Eid El Fitr iliyofanyika siku ya Jumapili June 25, 2017...
View ArticleWANAWAKE WA KANISA LA PENTEKOSTE TANZANIA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA KUDUMISHA...
Naibu Katibu Mkuu wa Muungano wa Makanisa ya Pentekoste katika Tanzania wa Umoja wa Wanawake (UW-MMPT), Loveness Maiko akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake wa kanisa hilo la mwaka huu...
View ArticleMAMBO YA KUSTAAJIBISHA AMBAYO YANAPATIKANA TANZANIA
Na Jumia Travel TanzaniaInastaajabisha kuona watu wa mataifa ya nje wanajua vitu vingi zaidi vinavyopatikana Tanzania kuliko watanzania wenyewe. Sijui ni ile hulka ya kutopenda kufuatilia mambo au ni...
View ArticleDICOTA Social Mixer
Join us for a meet and greet on July 8th in Atlanta. Register here: https://goo.gl/yFRoKd
View ArticleWANAWAKE WAWEKA REKODI YA KUCHEZA SOKA KATIKA KILELE CHA UHURU,MLIMA...
Timu za Gracier fc na Volcano fc zikijiandaa kwa mchezo wa kirafiki katika eneo la Kreta,kilele cha Uhuru ,Mlima Kilimanjaro.Wachezaji wakiweka pozi la picha katika Kreta ya Uhuru katika kilele cha...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI SWALA YA IDD EL FITRI KATIKA MSIKITI WA...
Waziri Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa akiwasili katika msikiti wa Riadha mjini Moshi kwa ajili ya Swala ya Eid el Fitri iliyofanyika kitaifa mjini Moshi.Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiwa katika...
View Article