RODGERS EXPORTS LLC
RODGERS EXPORTS LLC. INATOWA HUDUMA YA USAFIRISHAJI MIZIGO U.S.A. to TANZANIATunawatangazia watanzania wote na marafiki wanaoishi hapa USA na wale wanaoishi tanzania, Hudumazetu za usafirishaji mizigo...
View ArticleMbeya City yaagiza ‘ndege ya chini’
Suala la usafiri ambalo linatarajia kukamilika muda si mrefu kutoka sasa, klabu hiyo inatarajia kununua basi jipya la kisasa lenye huduma zote ndani. Basi hilo litakuwa ama Yutong au Higer. Mikakati...
View ArticleTaulo la Ivo Mapunda na mkono wa Kavumbagu
KIPA mpya wa Simba, Ivo Mapunda.TANGU mwanzo mambo yalionekana hayaendi sawa kati ya straika wa Yanga, Didier Kavumbagu na kipa wa Simba, Ivo Mapunda, hawakusalimiana kabla ya mchezo uliozikutanisha...
View ArticleWATU ZAIDI YA 20 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA BASI KUGONGA NYUMBA NA KUPINDUKA...
Habari zilizoufikia hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba watu zaidi ya 20 wamepoteza wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa baada ya basi la Luhuye walilokuwa wanasafiria kutoka Musoma...
View ArticleMsanii wa Orijino Komedi Mpoki aalikwa Ujerumani kuhudhuria sherehe za Muungano
Msanii maarufu nchini Tanzania Kutoka kundi la Orijino Komedi al maarufu kama Mpoki a k a Muarabu wa Dubai anatarajiwa kuondoka nchini mapema mwanzo wa wiki hii kwenda nchini Ujerumani kuhudhuria...
View ArticleTANESCO NJOMBE WANASA WEZI WA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA MKOA HUO
Na Gabriel Kilamlya NjombeShirika la Umeme Tanesco Wilaya ya Njombe Leo Limefanikiwa Kuwanasa Watu Wawili Waliokutwa Wakiiba Nyaya za Umeme Katika Kituo cha Kusambazia Umeme Yaani Power Station Mjini...
View ArticleUNAKUBALIKA KWENYE JAMII YAKO? - 3
LEO ni wiki ya tatu tunazungumzia kuhusu maisha. Tumehama kidogo kwenye mapenzi na kugeukia kwenye maisha maana yana umuhimu mkubwa kujadiliwa!Safu inaitwa Love & Life ikimaanisha Mapenzi na...
View ArticleDARAJA JINGINE JIJINI DAR LAKATIKA JIONI HIII
Ni daraja la Mzinga huko Mbagala Kongowe,.Hili ni daraja la pili ukitoa lile la bunju nalo lililovunjika leo, pia daraja la Jangwani pia lipo hatarini kuvunjika kutokana hizi mvua zinavyozidi...
View ArticleMEMORIAL WEEKEND EXRAVAGANZA THREE NIGHTS TO PARTY
New York Dream Team (NYATI)Timu ya DMVKuanzia May 23- 25, 2014 Vijimambo Blog inakuandalia bonge la party, siku tatu za kula raha, nyama choma na mechi ya mpira iliyokua ikisubiliwa kwa hamu kati ya...
View ArticleCharles Mihayo charged over death of two girls in Watsonia, Victoria
Family photos of Indiana and Savana, who were killed at Watsonia.Charles Mihayo has been charged with two counts of murder. Picture: Andrew HenshawSavannah, 4, and Indianna, 3.Police outside the...
View ArticlePOLICE ON SKATES TO PATROL CITY STREETS
A special Administration Police unit displaying their skating skills during their graduation at Embakasi AP Training College on April 17, 2014. The unit is trained to pursue petty criminals. PHOTO |...
View ArticleUkawa sasa kuandamana nchi nzima
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawajaridhishwa na hatua ya jeshi la polisi ya kuzuia mkutano wao wa hadhara uliokuwa ufanyike visiwani Zanzibar jana na kwamba sasa wanaandaa...
View ArticleWATANZANIA WA SOUTHERN CALIFORNIA KUSHEREKEA MUUNGANO JUMAMOSI HII LOS ANGELES
KIINGILIO: BUREKARIBU WOTE
View ArticleDEEJAY ALEX DA WOLF WA 99.4 METRO FM MWANZA AFARIKI KWA AJALI YA GARI
Daima Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema pepon Amin.. Pole kwa familia ya Alex Da Wolf na wale wote walio poteza ndugu zao kwenye ajali ya gari mda mchache ulopita maeneo ya masanza kona Magu...
View ArticlePASAKA INOGILE SAFARI DC
Wadau wa DMV wakila hepi kwenye sikukuu ya Pasaka Jumapili April 20, 2014 kwenye mgahawa mpya wa Afrika Mashariki na kati.
View ArticleAzam kuzibomoa Simba, Yanga
Joseph Omog,kocha wa Azam FCUsajili wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC utazibomoa safu za kiungo na ushambuliaji za timu za Simba, Yanga na Mbeya City, imefahamika.Mara tu...
View ArticleTAX REFRESHER AND UPDATE WORKSHOP IN MOMBASA
ARE YOUR TAX COMPLIANCE SKILLS BECOMING A LITTLE RUSTY?JOIN US FOR THEREFRESHER AND UPDATE COURSE FOR CORPORATION TAXThis is a 2 day course which will be focusing on the fundamental aspects of current...
View ArticleWaziri Lukuvi akaliwa kooni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi.Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi-CUF (JUVICUF) na Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema...
View Article