Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania
Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 imekamilika. Mpaka sasa kiasi cha dolla 20,000...
View ArticleRAIS KIKWETE KONGO ATETA NA AKINA SAMATTA NA ULIMWENGU, AWAPA MANENO HAYO...
Rais Kikwete akiwa na Samatta kulia na Ulimwengu kushoto mjini Kinshasa leoRAIS wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete leo amewatembelea washambuliaji wawili Watanzania wanaocheza TP...
View ArticleWAKONGWE WALIOWAHI KUTAMBA WAKIWA REAL MADRID KUTOA TANZANIA
REAL Madrid ya Hispania itafanya ziara Tanzania na lini watakuja itajulikana kesho katika Mkutano maalum na Waandishi wa Habari wa kutaja rasmi ziara ya klabu hiyo.BIN ZUBEIRY inafahamu Kampuni ya...
View ArticleDIAMOND AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA (SIJATOA WIMBO) KWANINI KASEMA HIVYO JITIRIRISHE
Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa… Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie...
View ArticleKINANA KINANA AWATAKA WATENDAJI WA SERKALI KUFANYA MAAMUZI HARAKA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi...
View ArticleYANGA MPYA INAHITAJIKA..
Klabu ya Dar es salaam Young Africans yenye maskani yake kwenye mitaa ya twiga na jangwani jijini Dar es salaam, tangu kumalizika kwa ligi kuu msimu huu imekuwa ikipitia mambo mengi.Kati ya hayo,yapo...
View ArticleLugola: Serikali ya CCM inaendeshwa kisanii
“Hakuna lolote humu ni blabla tu… Mheshimiwa Zambi wewe ulikuwa ‘backbencher’ (kiti cha nyuma) kama mimi ulikuwa unapiga muziki kama kasuku juu ya wizara hii, leo unashirikiana na waziri wako unakuja...
View ArticleKINANA AHIMIZA VIONGOZI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA WANACHI ITOBO NZEGA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Itobo katika Jimbo la Bukene na kuwaambia waimarishe mahusiano na viongozi wao ikiwa pamoja na kuwaamini katika utekelezaji wa...
View ArticleDIGNA KULLAYA'S SEND OFF PARTY, BELTSVILLE, MARYLAND
Digna Kullaya (kulia) akiingia ukumbini akiwa na mpambe wake ambaye pia ni dada yake kwenye sherehe ya kumuaga kama bi harusi mtarajiwa iliyofanyika siku ya Jumamosi May 10, 2014 Beltsville,...
View ArticleHII IMETOKEA TANZANIA,NYATI AJIOKOA KATIKATI YA SIMBA WENYE NJAA NA WATALII...
By Wills RobinsonPublished: 8 May 2014Terrified tourists watched helplessly as a pride of deadly lions pounced on a buffalo. But during the vicious attack, the animal miraculously managed to escape....
View ArticleChama cha ANC chapata ushindi mkubwa
Rais wa Africa kusini Jacob Zuma asherehekea ushindi wa chama cha ANC katika uchaguzi mkuu uliokamilika.Tume ya uchaguzi nchini Afrika kusini imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku...
View ArticleManchester City mabingwa
By Israel Saria on May 11, 2014Hatimaye Manchester City wamefanikiwa kunyakua ubingwa wa England katika siku ya mwisho ya Ligi Kuu, ambapo walikuwa wakihitaji pointi moja tu kutawazwa wafalme.Vijana...
View ArticleTHANK YOU MOM FOR EVERY THING THAT YOU DO
To All The Mothers Out There Whether you Are A Past, Present Or Soon To Be Moms May Your Day Filled With Love, Joy And Laughter
View ArticleMANJI AUNGURUMA
Mwenyekiti wa Young Africans Bw Yusuf Manji akiongea na wanachama, wazee na waandishi wa habari leo makuu ya klabu ya YangaMwenyekiti wa Young Africans Bw Yusuf Manji amesema kuondoka kwa wachezaji wao...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY
Benja Bundi wa St Paul Minnesota Vijimambo timu wish you luck, happiness and riches today, tomorrow and beyond.
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA WILAYA YA NZEGA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Jimbo la Bukene wilayani Nzega ambapo aliwaambia Katiba ni jambo zuri,Katiba ni muhimu kwa nchi lakini si mwarobaini wa matatizo ya...
View ArticleUKAWA WAPIGWA MARUFUKU BUNGE LA BAJETI.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.Alisema hayo juzi bungeni baada...
View ArticleWAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara....Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi....Mashabiki wake wakiserebuka kwa furaha.Mbwembwe za bodaboda...
View Article