UBA Restates Commitment to Growing Infrastructure, Deepens Financial...
UBA Tanzania, a subsidiary of the UBA Group, a pan African financial institution with presence in 20 African countries, Monday restated its commitment to support the Tanzanian government’s initiative...
View ArticleRITTA KABATI CHALLENGE CUP MSIMU 2018 WAFUNGULIWA RASMI,TIMU ZAOMBWA KUCHUA...
kulia ni Mwenyekiti wa mashindano ya Ritta Kabati challenge cup 2018 na kushoto ni katibu wa kamati ya mshindano hayo walipokuwa wakiongea na vyombo vya habari kwenye ofisi zao zilizopo manispaa ya...
View ArticleAjali yaua watatu, yajeruhi wawili
By Julieth Ngarabali, Mwananchi jngarabali@mwananchi.co.tzChalinze. Watu watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuelekea Dodoma kupinduka.Ajali hiyo...
View ArticleUBA Restates Commitment to Growing Infrastructure, Deepens Financial...
UBA Tanzania, a subsidiary of the UBA Group, a pan African financial institution with presence in 20 African countries, Monday restated its commitment to support the Tanzanian government’s initiative...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba...
View ArticleJENERALI MABEYO AANZA ZIARA RASMI NCHINI CHINA KWA LENGO LA KUDUMISHA...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika kikao cha mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini China Mhe.Mbelwa Kairuki, pamoja na viongozi wengine waandamizi...
View ArticleIGP SIRRO AKUTANA NA BALOZI UFARANSA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Frederic Clavier (katikati), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es...
View ArticleViongozi Wawili CHADEMA Wavuliwa Uanachama
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema, Patrick Ole Sosopi, ametangaza kuwafuta uanachama wanachama wawili wa chama hicho.Waliofutwa uanachana ni pamoja na aliyekua Naibu Katibu Mkuu Bara, Getrude...
View ArticleRipoti ya Ufisadi Mali za CCM Yatua kwa Rais Magufuli
Tume ya kuhakiki mali za Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyoundwa na Rais John Magufuli, imebaini madudu ukiwamo utapeli na usimamizi mbaya wa mali hizo.Kamati hiyo iliyoundwa na Rais Magufuli kukagua...
View ArticleWambura analipwa Mil.7, Kasema watia saini TFF walighushiwa
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura (49) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa anapokea mshahara wa Shilingi Milioni 7 kwa...
View ArticleSHIDA YA UMEME KUSINI IMEKWISHA - MAJALIWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mradi wa Upanuzi wa Kituo cha Kufua Umeme kwa Gesi Asilia Mtwara, Mei 21, 2018. Wapili kulia ni Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na kushoto ni Mkuu wa...
View ArticleSPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA NABII MWINGIRA NA WANAFUNZI KUTOKA...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha St. John kilichopo Jijini Dodoma, Prof. Emmanuel Mbennah (katikati) na mmoja ya Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha...
View ArticleSERIKALI YAWATAKA WADAU WA NGOs KUENDELEA KUTEKELEZA SERA ZILIZO CHINI YA...
Mkurugenzi na Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bw. Marcel Katemba akizungumza na wadau Mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayotekeleza Sera zilizo chini ya Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii...
View ArticleTAASISI YA UHUSIANO WA UMMA TANZANIA (PRST) KUADHIMISHA WIKI YA MAWASILIANO...
Katibu wa Taasisi ya Uhusiano wa Umma Tanzania (PRST) Ndege Makura, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 22, 2018 jijini Dar es Salaam wakati akielezea maadhimisho ya wiki ya...
View ArticleTAASISI YA UHUSIANO WA UMMA TANZANIA (PRST) KUADHIMISHA WIKI YA MAWASILIANO...
Katibu wa Taasisi ya Uhusiano wa Umma Tanzania (PRST) Ndege Makura, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 22, 2018 jijini Dar es Salaam wakati akielezea maadhimisho ya wiki ya...
View ArticleWatu Saba Wafariki kwa kipindupindu Rukwa
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule amethibitisha kufariki kwa wagonjwa saba wa kipindupindu katika Wilaya ya Sumbawanga huku wagonjwa wengine 44 wakibaki wodini kuendelea kupatiwa matibabu...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania, Mhe.Roberto Mengoni wakati alipotembelewa...
View ArticleMATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe.Dkt.Tulia Ackson akitambulisha wageni wa jukwaa la Spika wakati wa kikao cha thelathini na tano cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.Rais wa...
View Article