Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni
Mbunge wa Tunduru, Mtutura Mtutura (CCM).PICHA|MAKTABA Kwa ufupiUchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki umeelezwa kutawaliwa na rushwa.Dodoma. Mbunge wa Viti Maalum, Suzan Kiwanga (Chadema),...
View ArticleKITENGE NAJIVUNIA TANZANIA
KAMA KITENGE WAWEZA FUNGA HIVI STYLISHLY BASI SI LAZIMA USHONE VYOTE FASHIONISTA HAPO KAAMUA AFUNGE FUNDO PEMBENI KIVAZI KIMEKAMILIKA
View ArticleBAADA KUGOMEA DOLA LAKI 1 MASAA 12, CAMEROON WAKUBALI KURUKA KWENDA BRAZIL!
>>FIFA HUTOA DOLA 1.5 MILIONI KWA KILA NCHI KWA MATAYARISHO!BAADA KUGOMEA KWA MASAA 12 kupanda Ndege kwenda Brazil kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia wakipinga Bonasi hafifu, Wachezaji wa...
View ArticleKASI YA NAPE YAMPELEKA CCM RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO CHA SAUT
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wanachama wa Tawi la CCM SAUT Kambarage na wananchi wa Nyamalango ,wilaya ya Nyamagana Mwanza ambapo aliwaambia kuwa CCM itaendelea kuongoza...
View ArticleKuelekea Kombe la Dunia...Mahojiano na Halifa Ramadhan kutoka Brazil
Photo Credits: EyesOnNews.com Siku chache kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la Soka huko Brazil, mambo mengi yamekuwa yakizungumzwa kuhusu maandalizi ya michuano hiyo.Kuna malalamiko na...
View ArticleMhariri Mtendaji Gazeti la Jambo Leo Ameremeta
Anicetus M. Busagi kimtambulisha mkewe Levina A. Mtei kwa wageni waalikwa katika hafla ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata,...
View ArticlePICHA YA LEO
Wadau tulio ughaibuni tuna mchango gani kwa nchi yetu kuepukana na hali hii ya watoto wetu kusomea chini ya mbuyu ?
View ArticleCFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI
Msimamizi wa ufundi wa Magari aina ya Mercedes Benz kutoka kampuni ya CFAO Motors Bw. Winner Mushi (wa tatu kushoto) akionyesha matumizi ya kifaa maalum cha ukaguzi wa Malori ya Mercedes Benz (Star...
View ArticleSHUKURANI ZA DHATI
Ndugu Watanzania waishio ndani na nje ya Marekani, Jumuiya ya Watanzania waishio eneo la Ghuba (Bay Area) na vitongoji vyake, marafiki wote wa familia ya Marehemu Ndugu Mwesigwa Blandesi, Uongozi na...
View ArticleSudan K:Mazungumzo yatibuka Ethiopia
Waasi nchini Sudan Kusini bado wanaendelea kupigana na majeshi ya serikaliRais wa Sudan Kusini Salva Kiir pamoja na kiongozi wa waasi Riek Machar wanatarajiwa kukutana Jumanne katika juhudi za kumaliza...
View ArticleMsaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
Pichani ni Mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya akiwa na Mama yake Mzazi Tunu Juma Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto...
View ArticleKILICHOJIRI KATIKA HITIMA YA MTOTO NASRA RASHID, NI YULE ALIYEISHI KATIKA...
Mwandishi wa habari wa Mwananchi Communiction ltd Hamida Shariff kulia akishiriki kuomba dua wakati wa kisomo cha hitima kwa mtoto Nasra Rashid aliyefariki dunia juni mosi mwaka huu katika hospitali ya...
View ArticleBALOZI MPYA WA MAREKANI AJITAMBULISHA KWA MHESHIMIWA MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzani, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,...
View ArticleWATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX SASA KIAMA KITUPU
Difenda iliyobeba watuhumiwa wa kesi ya mtoto wa boksi, Nasra Rashid ikiwasili Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro.Baba mlezi wa mtoto Nasra, Mtonga Omari akishuka kwenyegari la polisi kwa staili...
View ArticlePicha na Ujumbe Mtamu wa Kim K kwa Kanye West Katika Siku yake ya Kuzaliwa
Jana (June 8), rapper Kanye West amesherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa na umri wa miaka 37 ikiwa ni mara ya kwanza kusherehekea siku hiyo akiwa ndani ya ndoa.Mkewe Kim Kardashian, alichukua muda...
View ArticleFilippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan
Filipo Inzaghi ateuliwa kocha mpya wa AC MilanAC Milan imemfuta kazi mkufunzi wake Clarence Seedof baada ya kuhudumu kwa chini ya miezi 5 na kumtangaza Filipo Inzaghi kama kocha mpya.Seedof mwenye...
View ArticleRAIS KIKWETE AHANI MSIBA YA KANALI MSTAAFU ALI MWANAKATWE LEO
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya Marehemu Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe wakati wa hafla ya kuaga mwili wa marehemu katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH)...
View ArticleRAIS KIKWETE AHANI MSIBA MCHEKESHAJI SAIDI NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mjane wa Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii huyo maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga...
View Article