ZAIDI YA WANANCHI 50 WAHANGA WA MAFURIKO WAPATIWA MSAADA WA CHAKULA KIJIJI...
Mzee wa kanisa la Waadventista wasabato mtaa wa kijenge Agrey Tumaini akigawa mahindi kwa wananchi wa kitongoji cha kitongoji cha Nyamagana kilichopo katika kijiji cha Themi ya simba wilayani...
View ArticleTAMKO LA WABUNGE WA TANZANIA KATIKA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI
Katibu wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Shy-rose Bhanji akieleza kwa waandishi wa habari juu ya uamuzi wake wa kutoiunga mkono hoja kwa kutoa sahihi zao kama...
View ArticleICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda
Ntaganda akiwa katika mahakama ya ICCMahakama ya kimataifa ya Uhalifu wa kivita,ICC imesema kuwa imepata ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka mbabe wa kivita wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo...
View ArticleBABU MWENYE MIAKA 97 ASAKA MTOTO BAADA YA KUFUNGA NDOA AKIWA MZEE WA MIAKA...
BABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa...
View ArticleMtaalamu aelezea sababu za wasichana katika baadhi ya shule 'kupagawa' kwa...
Ugonjwa wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa...
View ArticleGET TOGETHER BBQ JUNE 14 @DJ MAO HOUSE FROM 2 PM TO 9 PM.
GET TOGETHER BBQ SATURDAY JUNE 14TH FROM 2PM TO 9PM @MAO HOUSE. 139 6TH STREET PELHAM.NY 10803. UKISOMA HABARI HII PLEASE MWAMBIE MWENZAKO FIKA NA CHOCHOTE KIROHO SAFI NA JUMUIKA NA WENZAKO.
View ArticleSHEIKH MOHAMED IDRIS AUAWA KINYAMA MOMBASA LEO
Kiongozi wa shura ya maimamu Kenya, Sheikh Mohamed Idris enzi za uhai wake. Mwenyekiti wa baraza la maimam na muhubiri maarufu nchini Kenya Sheikh Mohammed Idris, ameuawa kwa kupigwa risasi mjini...
View ArticleUKATILI: MWANAMKE MJANE ASIMIKWA MTI SEHEMU ZA SIRI NA SHEMEJI ZAKE HUKO MARA
MJANE mmoja (jina linahifadhiwa kwa sababu za maadili) (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara amefanyiwa ukatili wa kutisha wa kusimikwa kijiti sehemu zake za siri na shemeji...
View ArticleHOSPITALI YA MKOA WA SHINYANGA YAPEWA SIKU 7 KUPUNGUZA GHARAMA ZA MATIBABU
MKUU wa mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga, ameipa siku Saba Hospitali ya Serikali ya mkoa huo kushusha gharama ya matibabu kutokana na wananchi kushindwa kumudu gharama hizo, zilizopandishwa baada ya...
View ArticleAjiua kwa risasi baada ya kusababisha ajali
Mfanyabiashara wa madini, Richard Lucas (29) anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema...
View ArticleKASHESHE LILILOJITOKEZA WAKATI WATUHUMIWA WANAODAIWA KUMTESA MTOTO NASRA...
Baadhi ya akinamama Manispaa ya Morogoro wakikimbiza gari ndogo lililowabeba watuhumiwa wa kesi ya kula njama na kumtesa Nasra Rashidi (4) wakati wa uhai wake baada ya kesi yao kughailishwa hadi juni...
View ArticleCHUI WAZUA MTAFARUKU BAADA YA KUVAMIA KIJIJI MOSHI VIJIJINI
WAKAZI wa kijiji cha Okeseni Chini, Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, wanalala mapema wakihofia kushambuliwa na kundi la wanyama aina ya Chui lililovamia kijiji hicho. Akizungumza kwa...
View ArticleStatement by Tanzanian MPs against motion to censure EALA Speaker
EALA MPs from Tanzania (L-R:) Adam Kimbisa, Shy-Rose Bhanji, Twaha Taslima JOINT STATEMENT BY MEMBERS OF THE EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY (EALA) FROM TANZANIA AGAINST THE MOTION TO CENSURE THE...
View Article