PPF WAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WAKATI KATIKA MAONYESHO YA 38 YA SABASABA
Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Jackline Jackson akitoa ufafanuzi juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa wateja waliotembelea Banda la PPF kwenye...
View ArticleMADEREVA WA BODA BODA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA WAANDAMANA
Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ASP Lwitiko Norman Kibanda, akizungumza na madereva wa pikipiki za kubeba abiria ambao juzi waliandamana hadi kwenye kituo hicho...
View ArticleTUKIO KATIKA PICHA HII NI IRINGA TUU: TAZAMA VIJIMAMBO VYA BODA BODA HUYU!
Boda boda akiwa kazini Anajiita Boda boda mzungu Swali linakuja kwa wana usalama wa Barabarani je hii ni sawa hawa kuvaa Mask?IRINGA YETU
View ArticleRais Kikwete awajulia hali Mzee Hashim Mbita na Mbunge Donald Max
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mbunge wa Geita Donald Max aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo jioni.Rais Kikwete akiwa hospitalini hapo alimjulia hali pia Brigedia...
View ArticleDIEGO COSTA ATUA RASMI DARAJANI
Chelsea wamethibitisha kumsajili rasmi Diego Costa baada ya kufikia makubaliano na Atletico Madrid. Chelsea ilitaka kukamilisha usajili huo kabla ya Kombe la Dunia kwa pauni milioni 32. Jambo hilo...
View ArticleMUME AMTWANGA NYUNDO KICHWANI MKE WAKE,KISA ANATAKA MKE MWINGINE
Faustina Selali, akiwa katika maumivu makali baada ya kushambuliwa na mumewe.DAH! Inasikitisha sana jamani. Faustina Selali, 38, mkazi wa Mgeta, Mvomero mkoani Morogoro, yupo kwenye mateso makali...
View ArticleTAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
KATIKA TUKIO LA KWANZA:MTU MMOJA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA RAHABU KIHANIKU (60) MKAZI WA KIJIJI CHA KIKOTA AMEFARIKI DUNIA MUDA MFUPI BAADA YA KUFIKISHWA HOSPITALI YA SERIKALI MAKANDANA – TUKUYU KWA...
View ArticleKIJANA ACHEZEA KICHAPO ALIPOKUWA AKITAKA KUIBA ENEO LA KIGAMBONI
Aliye vaa singlet nyeupe ni kibaka aliyekuwa akitaka kuiba akiwa ameshikwa na Polisi jamii aliyevua shati kupambana na Kibaka huyo. Baadhi ya Vijana wakitaka kumtandika kijana huyo mwizi Kibaka huyo...
View ArticleKIKUNDI CHA WANAFUNZI WALIOSOMA MWAKALELI CHA WHATSAPP CHATOA MSAADA KWA...
Wanafunzi wa zamani waliosoma Mwakaleli ambao wapo 36 waliopo katika kundi (Group) katika mtandao wa Whatsapp hivi karibuni waliungana pamoja na kwenda kutoa msaada kwa watoto 94 waishio katika...
View ArticleBreaking News: DMV Presidential candidate, Liberatus "Libe" for Bilateral...
Mr. Liberatus Mwang’ombe “Libe” held a bilateral talks with Ambassador, Liberata Mulamula, and Hoh; Suleiman and Mkama on wide ranging issues related to economic and social cooperation between the DMV...
View ArticleMAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI HADI KUFA, YAKAMATWA
Na MOblog TeamPolisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu...
View ArticleSarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi
Nicolas Sarkozy, rais wa zamani wa UfaransaRais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anashikiliwa akihojiwa kutokana na tuhuma za kufanya ushawishi kuhusu kesi inayochunguzwa ya matumizi mabaya ya...
View ArticleMWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA WILAYANI MAKETE, MIRADI YA MAMILIONI YA FEDHA...
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro akipokea mwenge wa uhuru wilayani mwake katika kijiji cha Kimani kata ya Mfumbi wilayani hapo jana Juni 30, 2014 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine...
View ArticleKocha wa Nigeria Keshi amejiuzulu
Kocha wa Nigeria Keshi amejiuzulu Kocha wa Nigeria coach Stephen Keshi amejiuzulu wadhfa wake katika timu hiyo .Keshi amejiuzulu punde baada ya timu ya Super Eagles kuondolewa kutoka kwenye kipute cha...
View ArticleJE SIKU UKIAMKA NA UKAKUTA KARIAKOO IMEKUWA CHINATOWN USISHANGAE NDIKO...
Pitapita ya Vijimambo New York na kutembelea mji unaoitwa Chinatown uliopo Manhattan, NYC na kujionea kila kitu kimeandikwa kichina ndipo Vijimambo ikakumbuka Watanzania wanavyolalama kuhusu Wachina na...
View ArticleMWANADMV NAOMBA KURA YAKO
HARRIET SHANGARAI MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMVNdugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu...
View ArticleBANDA LA JESHI LA MAGEREZA LANG'ARA KWA SAMANI ZA NDANI MAONESHO 38 YA...
Sofa seti iliyotengenezwa kwa Ustadi mkubwa na Mafundi Stadi wa Jeshi la Magereza kama inavyoonekana katika picha. Sofa hiyo imetengenezwa kwa kutumia Mbao aina ya Mkongo ambao ni imara na hudumu kwa...
View ArticleMalalamiko katika soko la Kariakoo - VOA MItaani
Wafanya biashara wadogo wadogo katika soko la Kariako na wateja wao wanalalamika kukandanizwa na wakuu wa wilaya ya Dar es Saalam ambao wanawapokonya mali zao na kuwalipisha fini.
View Article