Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, leo akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa...

View Article


MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KING CLASS KING CLASS MAWE AMTAKA CHEKA AACHE KUCHONGA NGENGA KING CLAA

BONDIA Ibrahimu CLass 'King Class Mawe' amekuja juu baada ya bondia Cosmas Cheka kupanda ulingoni siku ya Desemba 31 mwaka jana na kusema kwa Dar es salaam hana mpinzani na hakuna bondiaanaemuweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

MHE. NIMROD MKONONimesikitishwa na jinsi Chama kikuu cha upinzani ambavyo kwa siku za hivi karibuni kimeingia katika migogoro ambayo inaathari kubwa kwa ustawi wa demokrasia hapa nchini.Nimesoma kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAMFILISI WEMA

Stori: Waandishi Wetu YAMETIMIA! Ni kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu aliyesifika kwa kumwaga fedha kila kukicha ameanza kufilisiwa, Ijumaa Wikienda lina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZIMBAMBWE BWANA MUGABE HALI MBAYA AZIMIA GHAFLA

Rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Mugabe.Na.MOblog kwa msaada wa mtandao.Mtu kutoka ndani ya chama tawala cha serikali ya Zimbabwe amesema kuwa kiongozi wa muda mrefu na rais wa taifa hilo la Afrika, Robert...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAMBI RAMBI KUTOKA CCM NORTH CAROLINA

Tawi la CCM North Carolina na Jumuiya yote inapenda kutoa salamu za rambi rambi kwa ndugu na jamaa wote wa dada mpendwa marehemu Zainab Buzohera wa Washingto DC/Maryland. Marehemu alikuwa jasiri na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE YA VIJIMAMBO KUTOKANA NA HALI HEWA MWANZO WA MWAKA 2014...

Vikwangua hanga vya mji wa Chicago ulikumbwa na ukungu mkubwa uliosababisha hadi ndege kusimamisha shughuli zake. Hali hii ilikuwa imesababisha kuwepo kwa baridi kali sana tempreratures kuwa chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACK PATRICK MAZITO TENA YAIBUKA

Stori: Waandishi WetuHABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani) zinazidi kumuumiza mrembo huyo.Mrembo huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY

Rajhoma TambweTimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar

Zanzibar. Wakati watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya Kilimanjaro II, kupata ajali na abiria kuzama baharini, nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za uongo kuhusu ajali hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY

Sombe GalVijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY

Asikoye JustoTimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi wa Chadema watwangana tena Dar

Mfuasi wa Chadema akiwa chini baada ya ‘kukatwa mtama’ na mfuasi mwingine wa chama hicho baada ya kutokea vurugu baina ya wafuasi wanaounga mkono uongozi na wale wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uandikishaji Darasa la Kwanza utata mtupu

Dar/Moro/Mbeya. Msimu wa uandikishaji watoto wanaoanza darasa la kwanza, umeanza, huku kukiwa na malalamiko lukuki hasa kutokana na michango inayotozwa kwa watoto wanaokwenda kuanza darasa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kalenga ilivyozizima mazishi ya Mgimwa

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma, wakiweka shada la maua juu ya kaburi la aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, katika mazishi yaliyofanyika kijiji cha Magunga Kata ya Maboga eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO...

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji Maji yakiwa yamezunguka stoo za wafanya biashara eneo la viwanda sido Hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenyan killed in US while preparing to return home

Georgia, USA: A 37-year-old Kenyan man has been killed in mysterious circumstances in the US just as he was preparing to relocate home after 15 years abroad. Eric Kiptui was brutally murdered in his...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAMNASA MWANGA USIKU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa Mtu mmoja asiyefahamika jina anayedaiwa kuwa ni mwanga amenaswa na polisi baada ya kudondoka katika eneo la Ilala Bungoni, jijini Dar akiwa kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA NISHATI NA MIGODI WA ALGERIA...

 Makamu  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Nishati na Migodi wa Algeria, Youcef Yousfi, aliyeongozana na Ujumbe wake kutoka Kampuni ya...

View Article
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>