Askofu mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
.Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Evarist MangalaAskofu wa Kanisa la Emanuel mjini Shinyanga, Edsoni Mombeki, amekamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha nne (16)...
View ArticleMsekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM
Dar es Salaam. Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.Akizungumza kwenye mahojiano...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP MANGU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu...
View ArticleIkulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge
Dar es Salaam. Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh43 milioni hadi Sh160 milioni.Mkurugenzi wa Mawasiliano...
View ArticleSAFARI INTERNATIONAL SATURDAY KIOTA PENDWA MBAYA WASHINGTON, DC
Luke Music Factory inakukaribisha kwenye usiku kimataifa Jumamosi hii Feb 8, 2014 kwenye club pendwa mbaya ya Safari Night Club The Mixmaster Dj Luke na burudani ya kimataifa.Kama hujafika Safari bado...
View ArticleTASWIRA,NAIBU WAZIRI WA FEDHA:MH MWIGULU NCHEMBA ASHUHUDIA UTOROSHAJI WA...
Naibu Waziri wa Fedha Mh;Mwigulu Nchemba akiwa ameongozana na Naibu Kamishina Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa Tanzania,Ndugu Patric Kisaka(kulia) na Mkurugenzi wa huduma za Ulipaji Kodi na Elimu...
View ArticlePICHA:MH:MWIGULU NCHEMBA ALIPOWASILI WILAYA YA KYELA HII LEO KUTEMBELEA OFISI...
Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akiwa ameongozana na Mh:Waziri Dkt.Harrison Mwakyembe(Kushoto) na Mkurugenzi wa Huduma za Ulipaji Kodi na Elimu Ndugu.Richard Kayombo wakielekea kutembelea...
View ArticlePICHA:MH;MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KYELA
Naibu Waziri wa Fedha akizungumza na Wafanyabiashara hii leo Wilayani Kyela kuhusu Matumizi ya Mashine za EFD na Umuhimu wa Kulipa kodi kwenye Biashara zao. Sehemu ya Wafanyabiashara wa Wilaya ya Kyela...
View ArticleWASANII NA WANAHABARI WAKISHEHEREKEA BAADA YA KAZI NZURI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wageni waalikwa kwenye sherehe za Usiku wa Wasanii na Waandishi wa Habari zilizofanyika usiku wa tarehe 2 Februari kwenye ukumbi wa...
View ArticleWAJUE WATU 10 WENYE NGUVU TANZANIA
KWA muda wa miezi miwili , magazeti ya Global Publishers Ltd yaliendesha zoezi la kuwashirikisha wasomaji wake juu ya mtu gani mwenye nguvu zaidi ya ushawishi katika jamii ya Watanzania.Rais Jakaya...
View ArticleSACGOT Corridor Anchors 110 Million Euro Agricultural Investment Project in Tea
From left to right: Juliet Kairuki, CEO, Tanzania Investment Centre, Peniel Lyimo, Deputy CEO, Presidential Delivery Bureau, Mrs Sophia Kaduma, Permanent Secretary Ministry of Agriculture; Hon. Chiza,...
View ArticleFOURTY YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
Zainab Buzohera enzi ya uhai wakeDullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa...
View ArticleBenki ya CRDB yakabidhi hundi ya shilingi milioni 100 kusaidia waathirika wa...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni 100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa mafuriko...
View ArticleMwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki Aapishwa leo Zanzibar
Msafara wa Mhe. Mwakilishi Mpya wa Jimbo la Kiembesamaki ukiingia katika viwanja Baraza la Wawakilishi kumshindikiza kwa ajili ya kuapishwa leo asubuhi. Gari iliomchukuwa Mhe. Mahmoud Thabit Kombo...
View ArticleJamaa kaoa Mbwa huko California!
San Francisco, CA — On Monday history was made at the Chapel of Our Lady at the Presidio in San Francisco as the first-ever state recognized human-animal marriage took place. Local resident 35-year-old...
View ArticleTanzania, Australia kuongoza mjadala siku ya radio duniani.
Flora NduchaTukiwa tunaelekea siku ya radio duniani tarehe 13 mwezi huu, mratibu wa siku hiyo katika radio ya Umoja wa Mataifa Flora Nducha amesema mjadala maalum utakaoratibiwa na shirika la Umoja wa...
View ArticleZAIDI YA KILO 200 ZA MADAWA YA KULEVYA AINA YA HEROIN ZAKAMATWA BAHARI YA HINDI
Zaidi ya kilo 200 za madawa ya kulevywa aina ya heroin yamekamatwa na kikosi cha polisi wanamaji katika bahari ya hindi yakisafirishwa kutokea nchini irani pamoja na mabaharia kumi na wawili kutoka...
View ArticleKisima ‘walimozikwa’ Wafaransa chafukuliwa
Kisima kilichopo eneo la Matamwe Mkoa wa Kaskazini Unguja ambamo raia wawili wa Ufaransa wanasadikiwa kuuawa na kisha kufukiwa kwa zege. Picha na Mwinyi SadallahZanzibar. Kazi ya kutafuta mabaki ya...
View ArticleUtafiti: Ngono ya mdomo ni hatari
Namna mdomo unavyoharibika kutokana na ngono kufanywa kwa kutumia mdomo.Leo ni siku ya Saratani Duniani. Wakati tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la taifa inazidi...
View Article