Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakanusha wauza ‘unga’ kunyongwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe alipotembelea Ziwa nyasa siku za hivi karbuni. Wizara yake imekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba watanzania...

View Article


RAMA K-POTEZEA TU(OFFICIAL VIDEO)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA YA SHEREHE YA KUZALIWA CCM TAWI LA NEW YORK

Tawi la CCM New York walivyoshereheka miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho, Kulikuwa na  hotuba ya viongozi wa tawi na mgeni rasmi kutoka Tanzania UN Mission Mama Maura Mwingira. Historia ya chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAANGUKIA PUA KWA MAAFANDE WA MGAMBO TANGA WA LALA GOAL 1 MZUNGU...

Messi wa Simba hakufurukuta kabisaTambwe aliwekewa ulizi wa kijeshi na hakuonekana kabisa

View Article

Lady Jaydee - Historia (Official Music Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATL Is Sweeping Megalopolis Area This Feb 2014 ( MA-CT-NY-NJ-PA-DE-DMV ) -...

View Article

ANGALI RECORDED LIVE AROBAINI YA MPENDWA ZAINAB BUZOHERA KUTOKA HYATTSVILLE...

   Video streaming by Ustream

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA CCM MAREKANI WAKUTANA KUSHEREKEA MIAKA 37 YA KUZALIWA KWA CCM JIJINI...

 Meza Kuu Kutoka Kushoto ni Katibu wa Tawi la CCM - California Ndugu Erick Byorwango, Mwenyekiti wa Tawi la California Ndugu Josephine Masabala, Mwenyekiti wa Tawi la Chicago Ndugu Tina Lupembe na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI USIKU WA OMMY DIMPOZ JIJI LA WAJANJA - OAKLAND, CALIFORNIA - PICHA...

 Mwenyekiti wa Tawi la CCM Josephine Masabala akipata Ukodak na Ommy Dimpoz Katibu wa Tawi la California Erick Byorwango na Stella Byorwango wakipata Ukodak na Ommy DimpozKatibu Mwenezi wa Tawi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISOMO CHA AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV

Mume wa marehemu Dullah katika picha ya pamoja na mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera kwenye kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab iliyofanyika Jumapili feb 9, 2014 kwenye mgahawa wa Tabeer uliopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misa ya Kiswahili - Kusherekea na Kuwaombea Wapendanao (Valentine

 Mapadri kutoka kushoto Fr. Shao, Fr. Leandrah Kimario na Fr. Jean Tambwe wakiongoza misa takatifu ya kiswahili iliyofanyika Baltimore, Maryland ya kuadhimisha miaka 3 ya misa ya Kiswahili DMV  hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY TO MY TRUE LOVE OF MY LIFE

Mr & MrsLigateBirthdays come and go. But our love and respect for each other will always be rock solid. None of the forces of universe can change it. We will always be there for each other this day...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMASAI WA KWANZA ANAENDESHA NDEGE AINA YA AIRBUS YA FAST JET

William Zelothe Stepehen akiwa ndani ya ndege aina ya Airbus A319.William Zelothe Stepehen ni Mtanzania wa Kwanza Mmasai aliyepewa ithibati ya kuiongoza ndege aina ya Airbus A319 punde tu baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KELVEN CARTER MWANDISHI ALIYEJINYONGA NA KUJIUA KUTOKANA NA KUTWAA TUZO YA...

Mwandishi liyejinyonga baada ya kupokea tuzo. Picha hii inamwonyesha binti mdogo wa kisudani akiwa ananyemelewa na ndege mla nyama aina ya tai. Binti huyu alianguka njiani baada ya kushindwa kuhimili...

View Article

jannette ft Julio-You make me go official video HD

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGARI ZAIDI YA 3000 YAKWAMA ENEO LA HEDARU BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA NA...

Baadhi ya wasafiri waliokwama wakiangalia greda inayojaribu kutengeneza njia ili waweze kupita.Wasafiri wakiwa wamekwama eneo la hedaruMaroli na mabasi yakiwa kwenye foleni baada ya njia kuzibwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE WA EU, NA SHIRIKA LA GLOBAL VOLUNTEERS LA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe toka Umoja wa Ulaya (EU) kutoka kwa Mkurugenzi wa EU pembe ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambaye pia ni mjumbe maalumu wa EU kwenye nchi za ukanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO TBA WAHUKUMIWA MIAKA 9 JELA‏-GPL

Vigogo wa TBA, Makumba Kimweri (kulia) na Richard Maliyaga (kushoto) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar! (Picha na Maktaba).VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA), Makumba Kimweri na Richard...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

[AUDIO]: Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA

Bwn Solomon, Sunday Shomari na Herriet Shangirai wakijadili jambo ndani ya studio za Jamii Production. Washington DCKaribu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production.Katika kipindi hiki,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA AUSTRALIA LAKAMATA MADAWA YA KULEVYA PWANI YA TANZANIA-GPL

Askari wa  HMAS Melbourne wakiwa na madawa yaliyokamatwa. Madawa hayo yakiharibiwa.JESHI la majini la Australia limekamata na kuharibu kilo 353 za madawa ya kulevya aina ya heroin yenye thamani...

View Article
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>