MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AOMBOLEZA KIFO CHA MTOTO WA WAZIRI SOPHIA SIMBA DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa Lefoord Simba, mtoto wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia...
View ArticleNdege "mpya" ya Air Tanzania - Wings of the Kilimanjaro
Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Captain Milton Lazaro akishuka kutoka ndani ya ndege hiyo Ndege 5Y-WWA aina ya CRJ200 iliyowasili usiku wa jana
View ArticleUJUMBE KUTOKA KWA MRISHO MPOTO (WAITE) JITIRIRISHE HAPA CHINI
Super star alievunja record kwa kuingia Ulaya bila viatu. Mrisho Mpoto A.K.A Mjomba Heshima yake.
View ArticleSHABIBY TAJIRI WA MABUS YA ABIRIA UKANDA WA KATI NA HIKI NDICHO...
Hii ndio heteli ya kifari yenye hadhi ya nyota Tano ambayo ipo Mkoani Dodoma, Hoteli hii ambayo inamilikiwa na Mheshimiwa shabiby ambayo imepewa jina la Morena kwa tafsiri yake ni kitu kizuri au kama...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY
Akili Mtaalam from Ohio, USATimu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI, JOHN MINJA AHUDHURIA SHEREHE...
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, John Casmir Minja(wa nne toka kulia) akiwa meza Kuu pamoja na Wakuu wa Magereza toka nchi mbalimbali za Afrika katika Sherehe za kufunga rasmi Mafunzo...
View ArticleKAMPUNI YA TANZANIA DISTILLERIES LTD. KONYAGI WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE...
Baadhi ya wanawake wafanyakazi wa kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd. | Konyagi wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani inayoadhimishwa march 8 kila...
View ArticleBENJA ATIMKIA BUNGENI, DODOMA
Mwanakijiwe Benja Mwaipaja akiwa kwenye pipa tayari kwa safari ya Bongo siku ya Ijumaa March 7, 2014 mwenyewe akidai anaelekea Bungeni Dodoma ambako sasa hivi kunafanyika Bunge maalum la katiba.Katika...
View ArticleTAASISI YA TWA YASHEHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA KITUO CHA CHAWAWAKI...
Mrembo wa Tanzania Happiness Watimanywa akikabidhi baiskeli kwa mwenyekiti wa Chawawaki Bi. Reberata Jovin kwenye sherehe zenye lengo la kusaidia kikundi hicho, ambazo zimeandaliwa na taasisi ya...
View ArticleKatiba mpya sasa shakani
Vurugu Bunge la Katiba zasikitisha wengi Latawaliwa na wanasiasa, watunisha misuliBaadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wasomi, wanasiasa na viongozi wa dini, wamesikitishwa na vurugu...
View ArticleSalam za Heri ya Siku ya "WANAWAKE DUNIANI" kutoka Ngoma Africa Band
Kwa heshima kubwa na unyenyekevu,bendi ya muziki wa dansi "Ngoma Africa Band" yenye makao nchini Ujerumani,inatoa salam maalumu za kuwapongeza,Mama zetu,Dada zetu,Shangazi zetu akina mama wote katika...
View ArticleMwanamke jela kwa kuwatukana na kuwashambulia askari
Mahakama ya Wilaya ya Musoma.Mwanamke mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka mitano na miezi sita jela na Mahakama ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, baada ya kupatikana na makosa ya kutoa matusi na...
View ArticleCCM waanza kuviziana bungeni
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakiwa kwenye foleni ya kuchukua posho za vikao, Dodoma juzi. Picha na Silvan KiwaleWabunge wa CCM wamedaiwa kupokea vitisho, kama watakwenda kinyume na msimamo wa...
View Article‘Natembea na barua ya kifo mkononi’
Veronica Kibuga (katikati) pamoja na watoto wake.Magu. Hebu fikiri... Unaamka asubuhi na kukuta kundi la majirani nje ya mlango wa nyumba yako. Uwepo wao siyo kwa lengo la kukusalimu, bali kukupa...
View ArticleMabeki Yanga wapewa onyo kali
Cairo, Misri. Mashabiki wa Zamalek wamechekelea kitendo cha Wizara ya mambo ya ndani Misri kuzuia mashabiki katika mchezo wa Al Ahly Jumapili wiki hii, lakini wakawatahadharisha mabeki wa Yanga kuepuka...
View ArticleINTERNATIONAL NIGHT THIS SATURDAY @ SAFARI CLUB
luke Music Factory inependa kuwakaribisha tena Safari Club Jumamosi hii March 8, 2014 kiota kinachoongoza kwa muziki wa Bongo Flava. Karibu ujisikie upo nyumbani.
View Article