Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Viewing all 45945 articles
Browse latest View live

Ikulu: Wanaomkosoa JK hawako sahihi

$
0
0
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Salva Rweyemamu.

Na Andrew Msechu, Mwananchi
Dar es Salaam. Ofisi ya Rais imesema kuwa wanaomkosoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu msimamo wake katika mchakato wa Katiba Mpya hawako sahihi kwa kuwa ni mlezi na ana haki ya kutoa maoni yake kama mkuu wa nchi na kama mwanasiasa.
Pia, imewataka wasiokuwa wajumbe wa Bunge la Katiba waiache kazi hiyo mikononi mwa Bunge hilo kwa sasa hadi hapo rasimu itakapowasilishwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura ya kuikubali au kuikataa.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Salva Rweyemamu ikiwa ni siku moja baada ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), kutoa tamko zito kwa Rais Jakaya Kikwete ikiishangaa kauli yake ya kupinga mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya Watanzania.
Rais Kikwete amekuwa akilaumiwa na taasisi na watu binafsi baada ya kulieleza Bunge la Katiba kuwa kuna baadhi ya mambo kwenye Rasimu ya Katiba ambayo hayawezekani kutekelezeka, akitoa mfano wa muundo wa Muungano wa serikali tatu, jambo ambalo CCT ilisema jana kuwa alitakiwa alifanye wakati Kamati ya Mabadiliko ya Katiba ilipokuwa ikimfuata kumweleza maendeleo ya kazi yao.
Hata hivyo jana, Rweyemamu aliliambia gazeti hili kuwa: “Kinachoendelea kwa sasa kwa baadhi ya makundi ya kidini kutoa matamko dhidi ya Rais si sahihi, kwa kuwa Rais ni mlezi na ana haki ya kutoa mtazamo wake kama mkuu wa nchi na kama mwanasiasa.”
Alisema kimsingi mchakato huo ni wa kisiasa na Rais ni mwanasiasa, pia ni mkuu wa nchi hivyo ndiye mwenye uwezo wa kutoa ushauri na kutoa angalizo pale inapohitajika, hasa anapoona kuna jambo lisilokuwa sawa, hivyo hakuna haja ya kuendelea kusimama kupinga kile alichokielekeza nje ya Bunge.
“Tulioko nje ya Bunge la Katiba hebu tuwaachie wajumbe. Rais kama msimamizi mkuu atakoseaje kwa kutoa ushauri? Alichokifanya ni sahihi na kama kuna tatizo, walioko nje ya Bunge warudi ndani ili wajadiliane kwa kina na kumaliza tatizo,” alisema.
Kauli ya CCM
Wakati Rweyemamu akisema kazi hiyo ya mjadala wa katiba iachwe kwa wajumbe wa chombo hicho cha kuandika Katiba, CCM ilisema jana kuwa kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake kuhusu mchakato huo na akaisifu CCT kwa kutumia haki hiyo ya kikatiba.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema katika mchakato wa kupatikana kwa katiba iliyo bora, kila mtu na kila kundi lina fursa ya kutumia uhuru wa kikatiba kueleza na kutoa maoni yao, hivyo viongozi hao wa CCT wametumia vyema uhuru huo.
Alisema kwamba anaamini CCT haikufanya hivyo kimakosa kama ambavyo makundi mengine, wakiwamo majaji, chama chake na hata watu binafsi wamekuwa wakifanya, kwa kutoa mitazamo yao kuhusu aina ya muundo wa Serikali wanayohitaji.
“Siyo hao tu, tunatarajia na wengine zaidi watatoa. Hiyo ni haki ya kimsingi iliyowekwa na Katiba. Hatupo hapa kwa ajili ya kushindanishwa, tunaamini Bunge lipo kwa mujibu wa sheria nalo litaendelea kusimamia taratibu zake, hatuna sababu ya kumziba mtu mdomo.”

HAPPY BIRTHDAY

$
0
0
Sophia Mtolela from Dar es Salaam, Tanzania.
Timu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa

UKIMWI KUDHIBITIWA MWAKA 2030

$
0
0

UKIMWI KUDHIBITIWA MWAKA 2030
Kuna uwezekano kuwa UKIMWI unaweza kudhibitiwa ifikapo mwaka 2030, kwa mujibu wa taarifa ya shirika la Umoja wa Mataifa.
Shirika hilo- UNAids- limesema idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya HIV na vifo vinavyotokana na UKIMWI inapungua.
Hata hivyo, imetoa wito kwa juhudi zaidi za kimataifa kwa kuwa "kasi ya sasa haiwezi kumaliza ugonjwa huo".
Shirika la Madaktari wasio na
Mipaka limeonya kuwa wengi wa watu wanaohitaji dawa za kufubaza virusi vya HIV, bado hawawezi kuzipata dawa hizo.
Ripoti hiyo imeonesha kuwa watu milioni 35 duniani kote wanaishi na virusi vya HIV.
Kulikuwa na maambukizi mapya milioni 2.1 mwaka 2013, asilimia 38 pungufu ya idadi ya milioni 3.4 mwaka 2001. Vifo vinavyotokana na UKIMWI vimepungua kwa humusi katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, na kusalia katika milioni 1.5 kwa mwaka. Afrika Kusini na Ethiopia zimeweza kupiga hatua kubwa. Sababu nyingi zinasaidia kubadili hali ilivyo, ikiwemo upatikanaji wa dawa. Kumekuwa na idadi mara dufu ya wanaume kutaka kufanya jando kama njia ya kupunguza hatari ya kupata au kusambaza virusi vya HIV.
Makala kamili ipo: http://www.bbc.co.uk/news/health-28325761

HELENA AKUTANA NA BIBI YAKE MAMA MARIA NYERERE

$
0
0

Helena Nyerere mtoto wa mbunge wa viti maalum Mhe. Leticia Nyerere anayeishi Maryland nchini Marekani akiwa katika picha ya pamoja na bibi yake Mama Maria Nyerere walipokutana siku za hivi karibuni wakati Helena Nyerere alipomtembelea nyumbani kwake Tanzania.

APATA KIPIGO BAADA YA KULA MCHANA PEMBA

$
0
0

Jana mchana, mtu mmoja kisiwani Pemba amejeruhiwa vibaya baada ya kupata kipigo kutoka kwa
askari jamii. Mkasa huo umetokea katika kijiji cha Msingini Chake chake mkoa wa kusini pemba ambapo Polisi jamii wa Shehia hio waliamua kumpiga mtu huyo baada ya kuonekana akila mchana akiwa pamoja na wenzake watatu ambao walifanikiwa kukimbia na kutokomea kusiko julikana.

(Chanzo : Mazrui Media & Communication)

DIEGO COSTA ASAINI MKATABA WA MIAKA MITANO CHELSEA

$
0
0

Swapping sides: Diego Costa has completed his move to Chelsea from Atletico Madrid
Costa katika moja ya matukio yanayoonesha makali yake
Diego  wapenzi na washabiki wa klabu ya Chelsea ya uingereza baada ya kumwaga wino utakaomkalisha katika klabu hiyo kwa miaka mitano ijayo.Costa, leo hii amekata kiu ya

Jose Mourinho alishindwa kupata kikombe chochote katika msimu wake wa kwanza baada ya kurejea katika klabu hiyo; Costa ana imani atasaidia kumaliza ukame wa mataji katika klabu hiyo.

Costa aliyejiunga na klabu hiyo kwa dau la pauni za Uingereza Milioni 32 akitokea Atletico Madrid ya Hispania anatarajia kujiunga na kambi ya Chelsea wiki ijayo.

IJUMAA NA JUMAMOSI SAFARI CLUB DJ SEIF KUWASHA MOTO KARIBUNI SANA

$
0
0
LUKE MUSIC FACTORY INAKUKARIBISHA KIOTA CHA SAFARI CLUB INVITES YOU THIS FRIDAY, SATURDAY AND SUNDAY REGGAE NIGHT @ CLUB SAFARI WASHINGTON, THE BEST AFRICAN SPOT IN DMV 4306 GEORGIA AVE, NW FROM 9PM-3AM COME AND MINGLE WITH YOUR FRIENDS MUSIC BY DJ SEIF
NO COVER CHARGE

Free Mammogram screening to our DMV community


Mkutano wa naibu waziri wa maji ulivyoingia dosari katika kata ya Goba.

$
0
0


Jeshi la polisi limelazimika kumuokoa naibu waziri wa maji Mh Amosi Makala toka katikati mwa mikono ya makada wa Chadema na CCM katika kata ya Goba mara baada ya diwani wa viti maalumu CCM wa kata hiyo, alipokuwa akiwatambulisha makada wenzake wa CCM,kabla ya mkutano huo na wananchi kuvunjika kutokana na vurugu toka kwa makada wa Chadema na wale CCM

SIMBA ANAPOWEKWA MTU KATI NA NYATI

WAGOMBEA WA UONGOZI DMV HAWA HAPA

10 THINGS TO KNOW ABOUT DC's DECRIMINALIZATION OF MARIJUANA

$
0
0


Beginning July 17, possessing small amounts of marijuana will no longer be a criminal offense in the District -- but that doesn't mean pot will be legal, either.
Here are 10 important things you need to know about pot decriminalization in D.C.:


1. What exactly does "decriminalization" mean?
Typically, decriminalization means that there won't be prison time or a criminal record for someone caught for the first time with a small amount of marijuana for personal consumption, according to advocacy group NORML. Instead, it's treated like a minor traffic offense.
D.C. isn't the first to decriminalize marijuana. More than a dozen states have already passed laws that decriminalize marijuana.
2. Does that mean pot is legal?
No. Possession of one ounce or less of marijuana will become a civil violation. That just means it's not an arrestable offense in most cases.
However, possessing more than one ounce is still a criminal offense.
And under federal law, federal law enforcement officers may arrest anyone in the District for possession of any amount of marijuana if they're on federal land or in federally supported housing.
3. So I could just get a ticket for possessing marijuana?
Yes. Possession of one ounce or less of marijuana will result in a $25 ticket.
If a minor is caught with one ounce or less, they will also get a ticket and will be referred to Child and Family Services for a follow-up.
4. Is it legal to possess paraphernalia?
In some cases. Possession of drug paraphernalia directly associated with one ounce or less of marijuana is not an arrestable offense.
Examples of acceptable paraphernalia include bongs, cigarette rolling papers and cigar wrappers.
5. Can I sell marijuana?
No. However, giving someone an ounce or less of marijuana without receiving payment will become a civil violation and not an arrestable offense.
6. Can I smoke marijuana in public?
No. It is still a criminal offense to smoke or otherwise consume marijuana in any public place, including:
  • Streets
  • Alleys
  • Parks
  • Sidewalks
  • Parking Areas
  • Vehicles in or upon any street, alley, park or parking area
  • Any place to which the public is invited

You can be arrested for smoking, consuming or selling marijuana in any public space. However, you cannot be arrested in public or on private property for being impaired by marijuana -- with two important exceptions below.
7. Can I smoke marijuana while driving or boating?
No. Operating or being in control of a vehicle or boat while under the influence of marijuana is a dangerous crime and will be prosecuted.
8. Can law enforcement question me at any time?
No. Under the new law, none of the following will constitute reasonable suspicion of a crime anymore:
  • The odor of marijuana
  • The possession or, or the suspicion of possession of, marijuana without evidence of quantity in excess of one ounce
  • The possession of multiple containers of marijuana without evidence or quantity in excess of one ounce
  • The possession of marijuana without evidence of quantity in excess of one ounce in proximity to any amount of cash

If an individual is operating or in physical control of a vehicle or watercraft while intoxicated or under the influence of marijuana, none of those exceptions apply.
9. If I am stopped by law enforcement, will I have to present I.D.?
No. If you are stopped in possession of one ounce or less of marijuana, you do not have to display any proof of your identity. But you must provide your correct name and address.
10. If I am stopped by law enforcement, can I keep my marijuana?
No. Law enforcement officers are required to confiscate any visible contraband.


 According to the Washington post, civil violations will be adjudicated by the city's Office of Administrative Hearings, while misdemeanor crimes like smoking marijuana in public will be prosecuted by the D.C. attorney general. More serious felony drug crimes will remain in the hands of federal prosecutors.
The Metropolitan Police Department has prepared wallet-size cards with key information about the new law, and will post information on their website starting Thursday. 

IMMIGRANT ACTIVIST, IS RELEASED BY BORDER PATROL IN TEXAS

$
0
0




Jose Antonio Vargas, who has chronicled in minute detail the twists and turns of his life as a Filipino living illegally for years in the United States, was detained by the Border Patrol for most of the day on Tuesday and then released  with a notice to appear before an immigration judge.


The detention of Mr. Vargas, probably the most high-profile leader of the immigrant rights movement, posed an awkward dilemma for the Obama administration. The surge of Central Americans,includind many children,  crossing the border illegally — saying they are fleeing criminal violence at home — has made all decisions about immigration politically fraught, and administration officials were keenly aware that the backdrop to their decision to release Mr. Vargas was a border where thousands of migrants are being held.
Mr. Vargas was detained  at a Border Patrol checkpoint in the airport of this city in the Rio Grande Valley before he was to board a flight to Houston, on his way to Los Angeles. In a terse statement, Department of Homeland Security officials said they had released Mr. Vargas because he had no prior immigration or criminal record. They said their focus was on deporting immigrants who posed security threats.
It was the first time Mr. Vargas, who has been living without papers in the United States since 1993, had been arrested by immigration authorities. Lawyers assisting him said that they would seek to have the action against him suspended, and that it was unlikely he would be deported.
Mr. Vargas insisted that he never intended to be detained when he came to South Texas. But he and his supporters wasted no time turning his arrest into a day of high drama, using it to publicize their cause on social media and at a news conference in front of the Border Patrol station where he was held.
“I was released today because I am a low priority and not considered a threat,” Mr. Vargas said by telephone shortly after his release. “I would argue that the 11 million undocumented immigrants in this country are not a threat either.”
President Obama, seeking to stem the influx across the Rio Grande, has moved to deport recent crossers more quickly. He is also considering executive actions to expand protections from deportation for immigrants, like Mr. Vargas, who have lived here for years and pose no security threat. Republicans argue that Mr. Obama’s leniency with those immigrants has encouraged the border surge.
Mr. Vargas has been traveling around the country with aPhilippine passport t that is valid but has no United States visa. Because of this valley’s proximity to the Mexican border, airports and roads leading out have Border Patrol checkpoints at which officers confirm travelers’ immigration status.


Mr. Vargas’s arrest revealed the patchwork quilt of immigration enforcement that has allowed him to travel freely to 43 states in the last three years, since domestic airport security officials did not check his immigration status. But once he came to this heavily patrolled border region, he had to pass through a checkpoint to leave.
Mr. Vargas’s mother sent him to the United States when he was 12. Now 33, he was too old by a few months to qualify for a deportation deferral under a program Mr. Obama started in 2012 for young immigrants in the country illegally. Immigrants with deferrals can travel legally within the United States.
Mr. Vargas has been the main narrator of his story: in a first- person article  in The New York Times Magazine in 2011 in which he declared his illegal status; in acover story  for Time magazine; and, most recently, in a documentary film, "Documented" for which he was both producer and star. He started a media campaign, Define American, to cast light on the lives of immigrants in the country illegally. The group organized watch parties for a national broadcast of his film on CNN last month.


He came to McAllen last week for a news conference and vigil organized by United We Dream, a group for immigrant youth, outside a shelter for recently released Central Americans.
In an interview before his arrest, he said he had flown frequently in recent months to showings of the film around the country.
“I didn’t even think twice about it,” Mr. Vargas said of accepting the invitation to come here. When immigrant advocates familiar with security in the Rio Grande Valley asked him how he was planning to leave, Mr. Vargas said he responded.  “No, this can’t be for real.”
Cristina Jimenez, a leader of the group that extended the invitation, said that Mr. Vargas’s arrest “was never the intention or part of a broader plan. When the truth sunk in, we looked at each other’s eyes in disbelief.”
But Mr. Vargas and his followers moved to take maximum advantage of the news exposure. Advocacy networks were buzzing all day with text messages summoning people to call the Border Patrol station and demand his release.
As a journalist for The Washington Post, Mr. Vargas shared in a Pulitzer Prize in 2008. In February 2013, he testified before a Senate panel, sitting not far from a federal deportation officer.
Homeland Security officials said the Border Patrol agents at the airport had arrested Mr. Vargas “after he stated he was in the country illegally.”
After his release, Mr. Vargas said, “I came down to this border, and I realized that it is a militarized zone.” Anticipating criticism that he had received special treatment because of his high profile, he said he was no different from most immigrants without papers.
“President Obama should go big and bold with executive action to give us relief,” he said. 
As he approached the airport checkpoint on Tuesday morning, he built suspense,sending out two posts  on Twitter. “About to go thru security at McAllen Airport. I don’t know what’s going to happen,” he wrote, including a link to his advocacy organization. And then: “The only IDs I have for security: Philippine passport and my pocketbook US Constitution,” with a photo of both documents.
The police in Minnesota had held Mr. Vargas in 2012 on a traffic violation, but immigration officials declined to detain him then.
Mr. Vargas’s mother sent him to the United States when he was 12. Now 33, he was too old by a few months to qualify for a deportation deferral under a program Mr. Obama started in 2012 for young immigrants in the country illegally. Immigrants with deferrals can travel legally within the United States

RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU IKULU, DAR ES SALAAM

$
0
0
Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdullah Yusuf bin Ali bin Yusuf ash-Shirazi Mnyasi (mwenye kipaaza sauti) akiongoza dua katika futari aliyoandaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu Ikulu jijini Dar es salaam jioni ya Julai 16, 2014
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (aliyesimama kushoto), akitoa neno la Shukurani baada ya futari aliyoandaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu Ikulu jijini Dar es salaam jioni ya Julai 16, 2014
Sehemu ya waliohudhuria katika futari aliyoandaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu Ikulu jijini Dar es salaam jioni ya Julai 16, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu kwa kuhudhuria katika furari aliyowaandalia kulu jijini Dar es salaam jioni ya Julai 16, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu katika furari aliyowaandalia kulu jijini Dar es salaam jioni ya Julai 16, 2014

PICHA NA IKULU

UKIIPENDA KAZI YAKO BASI UTAFANYA KILA LIWEZEKANALO KUILINDA

$
0
0
Ni Flaviana Matata mlimbwende anaeifanya vyema kazi yake ya urembo na kuitangaza nchi yake ya Tanzania kupitia kazi yake hiyo. Hii ni siri ya urembo ya yeye kuwa juu na kufanya kazi yake ya urembo kung'ara siku zote.
Hapa akiwa na swagger za moja ya kazi yake, Jitiririshe chini na utagundua siri ya urembo ya mlimbwende huyu .
I try to work out atleast 5days a week. #sheisbackNajaribu kufanya mazoezi angalau siku tano kwa wiki

MR NICE AFUNGUKA KUHUSU UTAJIRI WAKE WA BILIONI 1.5 NA JINSI ULIVYOTOWEKA GHAFLA

$
0
0
Mr.Nice akifunguka kuhusu utajiri wake ulivyotoweka ghafla!. Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka kwake kimuziki, katika moja ya interview. 
Mr.Nice alidai kuwa hajui ni nini haswa kilichotokea ila yote hayo ni mipango tu ya Mungu. Mr.nice alizidi kufunguka na kusema kuwa, alikuwa na jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 1.5 zote zikiwa katika account mbalimbali hapa nchini, na hela zote hizo zimetoweka katika kipindi cha muda mfupi bila yeye kujua zimetumikaje. 
“Kaka naweza kusema hii ni mipango ya Mungu tu, kwani sikuwahi kumdhulumu mtu wala kuiba cha mtu, pesa yote nilikuwa naipata kwa hali, naweza kusema hii ni mipango ya Mungu tu wala si mkono wa mtu” alisema Mr.Nice. 
“Niliwahi kumiliki zaidi ya milioni elfu moja na mia tano kwenye bank tofauti hapa nchini, pesa hizo zilitokana na kufanya shoo nyingi za nje ya nchi kama. Marekani,Uingereza, Ujerumani, Sweden, Holand, Dubai, SouthAfrica na kwingineko, na kila shoo nilikuwa napata pesa ndefu sana” 
Alimalizia star huyo kutoka Tzee na mwanzilishi wa staili ya TAKEU. 


Mbali na kushuka kwake kimuziki Mr.Nice anakiri kuwa ana-miss sana enzi hizo kwenye show zake zisizoweza kusahaulika na machozi huwa yanamtoka kila akumbukapo show aliyopiga nchini Rwanda. 
Ambapo hadi waziri wa nchini humo aliweza kumsubiria airport kumpokea tena kwenye red carpet huku akisindikizwa na magari ya polisi, pamoja na mashabiki wake lukuki waliojaza uwanja huo wa ndege kushuhudia ujio wake.
Credit:BossNgassa

HII NI HILE VIDEO MPYA YA LINAH-----OLE THEMBA (OFFICIAL VIDEO)

$
0
0


Mahojiano na Linah kuhusiana na wimbo wake mpya alivyofanya uzinduzi wake THT jijini Dar es Salaam

TAMKO JUU YA TUHUMA ZA LIBERATUS MWANGOMBE KUHUSU DARASA LA KISWAHILI - TEAM IDDI SANDALY

$
0
0

Kwa masikitiko Makubwa nimesikitishwa na Mgombea Liberatus Mwangombe kulishutumu Darasa la kiswahili na kujaribu kuonyesha kuwa Darasa limekufa na hakukuwa na mipango ya kueleweka kwenye Darasa hili. Habari hizi ni za uongo, ubinafsi na hazijali Juhudi wala kuthamini Watanzania wana DMV waliojitolea.

Japo Mgombea huyu alianza kwa kusema kuwa hatojihusisha na negative campaign lakini kilichofuata ni kulishambulia Darasa na Mpango mzima wa Darasa hili.

Jumuiya tulianzisha Darasa hili kwa upendo na kuthamini  Nchi, lugha na Watoto wetu . Inasikitisha kuona baada ya kupongeza juhudi hizi za Jumuiya yetu Tukufu ya DMV. Mgombea aliamua kulishambulia Darasa hili na Kuwadhalilisha wale wote waliojitolea kwenye Darasa hili pamoja na Walimu.  Hali hii inakatisha tamaa na na sidhani kama ni Dalili nzuri .

Walimu na Viongozi wa Jumuiya tunategemea watanzania wote kuonyesha moyo wa shukrani kwa kazi kubwa tuliyoifanya kuifikisha shule hapa ilipo kwani matokeo yameonekana watoto wetu wanaongea kiswahili, wanajua hesabu kwa kiswahili , wanajua kuimba wimbo wa taifa. Na walimu ni wanachama wa vyama vya lugha ALTA, NCOTCL na wanatambulika katika mikutano hii kama walimu wa shule ya kiswahili wa Jumuiya ya DMV.

Mmoja ya Walimu Aliandaka na kusemakweli nimesikitika sana kusikia habari alizotoa Bwana Libe . Mimi ni mmojawapo wa walimu tulioanza kufundisha darasa hili kuanzia siku ya kwanza chini ya uongozi wa Jumuiya. Na tumefanya kazi usiku na mchana kuhakikisha madarasa haya yanafanikiwa. Kabla ya shule kuanza tulikaa chini tukatafakari na kutafuta msaada kwa wataalamu wa kiswahili toka vyuo mbali mbali na kupata muongozo wa jinsi gani shule hii itafanikiwa. Mojawapo ya mambo yaliyokuwepo ni kupanga malengo ya shule yetu, kupata elimu na kuwa na syllabus ya mwaka mzima. Na kwa taarifa tu haya yote TULIYATEKELEZA kabla ya kufungua shule except kwenda kusoma ilibidi tusubiri summer time wakati kozi hizo zinatolewa. Tuna documents tulizoziandika za kueleza malengo yetu, na sisi walimu watatu tuliamua kwenda kusoma Indiana na kupata cheti kama foreign language teachers for swahili hapa Marekani na tunafanya kazi kwa karibu sana na Maprofessor wa kiswahili hapa Marekani na darasa hili linatambulika kwa kila mwalimu anayefundisha kiswahili almost all colleges over USA. Tumeshiriki mikutano ya lugha kwa gharama zetu ili kutimiza malengo tuliyojiwekea ya kuiendeleza hii shule yetu. Na tumekwishafanya mazungumzo na walimu wa kiswahili wenye summer program ili waweze kuwachukua watoto kutoka katika madarasa yetu ya kiswahili ili tuanze kuwatayarisha for future professions in Swahili. Najua tupo kwenye campaign but ningeomba kabla ya kutoa habari nzito kama hii mgombea LIberatus angewasiliana nasi tumueleze kwa nini darasa limesimama.  Tumeweza kufanya yote haya from our own funds from our own salary or any source of income, kulipa nauli, membership fees za organizations na nauli za kusafiri kwenda kusoma au conference so we take everything very serious that's why i thought i need to put this details out here”

Sababu Ya Darasa kusimama ni: darasa hili lilikuwa likiendeshwa kanisani, kanisa ambalo katibu ni muumini na akatumia uhusiano wake na uongozi na tukapata madarasa ya bure. Baada ya mkataba kuisha na sisi kama shule tukawa affected sababu tulitulimia venue hii kufundisha kiswahili kwa mgongo wa kanisa.

Hivi Sasa Mipango ya Darasa Kuanza imekamilika na Tunawangoja watoto waendelee na Likizo ya Summer ambayo inaendelea Mashuleni na Venues zimepatika na Jumuiya na Ubalozi wetu wa hapa Washington DC tuko katika hatua za Mwisho za kuweza kukamilisha mikataba ya  Permanent Location kwa Darasa letu la Kiswahili.

Darasa lipo, Linaendelea na DMV Inazidikuendelea na kuwa mfano kwa Jumuiya nyingine.

Mungu Ibariki DMV

Wenu
Iddi Sandaly

DMV KWANZA















LULU AWEHUKA UKUMBINI

$
0
0
Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’,

Stori: Musa Mateja


Mchecheto! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, hivi karibuni alijikuta akiendelea kuwehukia penzi la mwanamuziki Mkanada anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Justin Drew Bieber (20), Amani lina cha kushika mkononi.
Ishu hiyo ilitokea Julai 14, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa BoT uliopo maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam ambapo wasanii wa Marekani waliotinga Bongo kwa mwiliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’ walikuwa wakitoa semina kwa wasanii wa Bongo.
Lulu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akiweka wazi mapenzi yake kwa Bieber alifika ndani ya ukumbi huo na kumwambia staa mwenzake wa sinema, Zuweza Mohamed ‘Shilole’ kwamba lengo la kufika kwake ni kuwaomba wasanii hao namba za simu za Bieber.


ILIKUWAJE?
Semina hiyo ilikuwa na lengo la kutoa mbinu za namna ya kukuza na kupanua soko la muziki na sanaa zote Tanzania.


Semina ilianza saa 3:00 asubuhi na wasanii wa Bongo waliitikia wito kwa kufika mapema, lakini Lulu alizama ukumbini hapo saa 8:12 mchana.
Justin Bieber


AINGIA KWA MBWEMBWE
Lulu alishuhudiwa akiwasili ndani ya ukumbi huo kwa mbwembwe nyingi huku akimwambia Shilole kwamba ametia timu kwa lengo la kuchukua namba za simu za mpenzi wake wa moyoni, Bieber kwa vile alijua miongoni mwa Wamarekani hao lazima mmoja atakuwa na mawasiliano ya msanii huyo.


HATUA KWA HATUA NA AMANI
Mwanahabari wetu, baada ya kuyanasa mazungumzo ya Lulu kwa Shilole, alianza kumfuatilia staa huyo hatua kwa hatua kama kweli atamvaa mmoja wa wasanii hao na kumuomba namba za simu za Bieber!


Lulu alikwenda kukaa kwenye kiti mbele kidogo huku wasanii wengine wa Bongo wakiwa kwa nyuma yake na akaanza kufuatilia semina hiyo ilivyokuwa ikiendeshwa kwa usahihi.
Muigizaji na Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha E! cha nchini Marekani, Terrence J akiongea mbele ya wasanii wa Bongo leo.


JINA LA BIEBER LATAJWA, LULU ASHTUKA
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mtoa semina mmoja alilitaja jina la Bieber katika mfano wa maelezo ya kuzingatia, ndipo Lulu akashtuka na kujishika sehemu ya kushoto kifuani kisha akamwelekea meneja wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ’Diamond’, Babu Tale ambaye alikuwa karibu yake na kumwambia maneno haya: “Naona sasa hawa Wamarekani wanaanza kugusa ninapopataka mimi.”


BAADA YA SEMINA
Baada ya semina kumalizika, baadhi ya wasanii wa Bongo walipiga picha za pozi na Wamarekani hao huku Lulu akienda chemba kuzungumza na Diamond, jambo lililotafsirika kuwa huenda alitaka msanii huyo amfanyie wepesi wa kukutana na Wamarekani hao kwa vile yeye alikuwa huko hivi karibuni akiwania Tuzo za BET.
Terrence J na Shaka Zulu (kulia).

LULU AONDOKA KIMYAKIMYA
Mpaka mwisho, Lulu aliondoka kimyakimya tofauti na alivyowasili huku paparazi wetu akiendelea kumfuatilia.


AMANI LAMVUTIA WAYA
Baadaye mwandishi wetu alimpigia simu ya mkononi staa huyo na kumuulizia kama alikipata alichokuwa amekikamia ndani ya ukumbi huo.Paparazi: “Lulu nilikusikia pale ukumbini ukimwambia Shilole kuwa lengo lako kubwa la kwenda ni kuipata namba ya simu ya Justin Bieber, vipi uliipata?”
Lulu: “Of course ni kweli nimekuwa nikimpenda Bieber tangu alipoibuka na Wabongo wanajua hilo, maana nimekuwa nikimsifia na kumzungumzia, ila pale ukumbini nilipongia Shilole ndiye alianza kwa kuniambia nimekwenda kuchukua namba ya Bieber.
Prodyuza David Banner akizungumza jambo na wasanii kwenye semina iliyofanyika leo.

“Hata mimi nilimkubalia kuwa ninavizia watakapomaliza kutoa semina niipate namba ya Bieber lakini sikumaanisha sana jamani!”

Paparazi: “Je, ulipokwenda kuongea na Diamond nini ilikuwa hoja yako kwake, akuunganishe nao?” 
Lulu: “Mambo mengine bwana. Kuna wakati Shaka Zulu (mmoja wa wagane hao) naye alimzungumzia Justin Bieber na baada ya kutaja jina tu nilishtuka sana, nilitaka nione akina Diamond watasemaje?”


KUMBUKUMBU ZA LULU
Mwaka 2011 baadhi ya magazeti pendwa ya Bongo sanjari na mitandao ya kijamii yaliripoti jinsi Lulu alivyopagawa na mwanamuziki huyo kiasi cha kushindwa kuvumilia na kujianika kwenye ukurasa wake wa Twitter.


Lulu alikwenda mbele zaidi kwa kudai kuwa, kwa jinsi anavyompenda staa huyo alikuwa tayari kumpa chochote kile (hakufafanua). Alikuwa ‘akitwiti’ kwa Kiswahili wakati mwingine akitumia ‘yai’ (Kingereza).
Katika maelezo yake Lulu alikaririwa akisema kuwa endapo staa huyo atatua Bongo, atatembea utupu kutoka nyumbani hadi sehemu ambayo Bieber atakuwa anapafomu.


Bieber mwenyewe anadaiwa kuwa na mashabiki zaidi ya 47,180,630 wanaomfuatilia kwenye Twitter hivyo huenda ilikuwa vigumu kumsoma Lulu.


KAMA VILE HAITOSHI
Hivi karibuni ambapo hata mwezi mmoja haujapita wakati Diamond akiwa nchini Marekani kwenye Tuzo za BET, Lulu alimtupia kwenye Instagram maneno haya: “Hongera kwa levo uliyofikia. Huko ulinionea Justin Bieber wangu?”


NADRA SANA, KWA LULU VIPI?
Ni nadra katika jamii ya Kiafrika mwanamke kuanika hisia za mapenzi yake kwa mwanaume asiyekuwa na habari naye huku jamii ikijua au kutambua hilo lakini Lulu amethubutu. Je, inakuwaje hapo?.
CREDIT:GPL

RAIS KIKWETE AELEKEA RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Kamishna wa Polisi Msaidizi Mwandamizi (SACP) Mary Nzuki, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Julai 17, 2014 wakati akipanda ndege kuelekea mkoani Ruvuma kuanza ziara ya Kikazi ya wiki moja ambapo atakagua na kuzindua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi. Kati kati ni Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Hamisi Selemani, Kamanda wa Polisi katika Uwanja huo wa ndege. PICHA NA IKULU

Viewing all 45945 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>