WIZARA YA AFYA YAELEZEA MPANGO WA UPIMAJI AFYA WANANCHI KWA MAGONJWA...
Meneja Masoko na Elimu kwa Umma toka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bi Anjela Mziray akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu programu ya upimaji wa Afya kwa...
View ArticleRAIS DK.SHEIN AKUTANA NA MABALOZI WA ULAYA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Ujumbe wa Mabalozi wa Nchi za Jumuiya ya Ulaya nchini Filiberto CERIANI SEBREGONDI, walipofika...
View ArticleBARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA...
Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Bw. Lewis Kalinjuna akiongoza kikao cha Baraza la Madiwani katika kupitisha sheria...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA...
Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia bi Prisca Ulomi akitoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya Teknolojia ya Habari na...
View ArticleWANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI
Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, akizindu rasmi kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kwa niaba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama jitihada...
View ArticleDARAJA LA RUVU LAFUNGWA, MKUU WA WILAYA YA BAGAMOYO AWAPIGA 'STOP' WAKAZI WA...
Wakazi wa Kiwangwa, wa Kiwangwa, wakivushwa na vijana waliojitolea kujipatia ajila katika Daraja la Ruvu kwa kuwavusha wananchi kwa kuwabea ama kuwaongoza njia ili kuvuka eneo hilo la daraja lililojaa...
View ArticleRIDHIWANI KUANZA NA BARABARA KISHA ELIMU NA AFYA TOKAMISASA
Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la wakulima na wafugaji kwa kuweka mpango...
View ArticleTANGAZO KWA WATANZANIA WAISHIO KWENYE DIASPORA
Tangazo kwa Watanzania Waishio Kwenye DiasporaKatika kuendeleza harakati za Diaspora za kuhakikisha suala la uraia pacha na haki ya kuzaliwa ya Watanzania inayowapa haki ya kuwa raia wa Tanzania...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APANDA MTI KUADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. Picha na OMR
View ArticleMourinho: Nahitaji mshambuliaji wa kweli
*Aahidi ‘kuwachinja’ usajili ujaoPanga la Kocha Jose Mourinho linaelekezwa kwa wachezaji Fernando Torres, Samuel Eto’o na David Luiz anayesisitiza hana wachezaji na atatumia fedha za mauzo yao kununua...
View ArticleZIARA YA MHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA - HOUSTON, TEXAS - MACHI 27 - 30.
Mhe. Balozi Liberata Mulamula alitembelea mji wa Houston, Texas akiwa na mumewe Mr. George Mulamula. Katika ziara hiyo alikutana viongozi mbalimbali wa jumuiya ya Watanzania wa awamu zilizopita na hivi...
View ArticleKIEMBA HUYUHUYU FAMILIA KWANZA
Wapo wanaopenda kutembelea magari ya kifahari, kuishi kwenye nyumba za gharama na kibaya zaidi, mara nyingi inadaiwa kwamba vitu hivyo vinakuwa siyo vyao, maisha ambayo baadaye anapokuwa hajajipanga,...
View ArticleYANGA NA MBEYA CITY NI AJABU KWELI
Yanga ikiteleza Mbeya City anayeshiriki Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza anaweza kupata tiketi ya kushiriki Kombe la Shirikisho.NI ajabu lakini kwenye mambo ya mpira inaweza kutokea kweli ndani ya...
View ArticleMAMA SALMA KIKWETE AONGEA NA WAKINA MAMA WA TANZANIA WAISHIO UINGEREZA
Mama Salma Kikwete akiongea na wakina mama wa anzania waishio Uingereza kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza na kuwaasa kuelekeza nguvu za maendeleo nyumbani Tanzania.Wakina mama wa Kitanzania...
View ArticlePITIA PICHA HIZI NA UTAJUA KUWA TABIA YA MTU UANZIA TOKA UTOTONI
Kila mtoto na malezi ya ukuwaji wake kutokana na utaifa pia unaweza kujua ni wakutoka nchi gani Maisha yanaendelea Watoto wakiume nao habari ndiyo.....Huyu nae sijui utasemaje.......Hapa sasa dogo ni...
View Article