Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45972 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya TTCL Yatwaa Tuzo ya Maonesho ya Biashara Sabasaba...!

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao mara baada ya kutwaa tuzo hiyo. Muonekano wa Banda la TTCL kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA...

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania...

View Article


TMT MBEYA PITIA HII NA UTAJUA KWANINI LULU NA JOTI WALIOANA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soccer festival

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS OBAMA AWAPONGEZA GOALKEEPER WA TEAM YA TAIFA NA CAPTAIN KWA KUWAPIKIA SIMU

Dialling in: America president Barack Obama rang USA stars Clint Dempsey and Tim Howard on Wednesday.Edge of your seat! Obama watched the World Cup defeat against Belgium at the Eisenhower Executive...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAGA LA MBASHA NA FLORA, MBASHA AMSHITAKI GWAJIMA

Mambo juu ya mambo! mvumo mkali wenye kuogofya unaendelea kutamalaki katika ndoa ya wanamuziki zao la upako wa Injili Bongo, Emmanuel na Flora Mbasha, safari hii ‘topiki’ siyo zile tuhuma za ubakaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHOMVU NA B12 WAZICHAPA LIVE HEWANI,WAPIGWA RED CARD.

MCHOMVU.                                             B12.                                                DJ FETTY.WATANGAZAJI wa kipindi Double XXL cha Radio Clouds fm 88.5 Dar, Adam Mchomvu, Dj Fetty...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe atema 13 uwanja wa ndege

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akitangaza kuondolewa kwa watumishi 13 katika Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jana ambao wamebainika kuwasumbua wasafiri kutoka nje ya nchi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA 13 ZA BOLI WAKATI TUKIWA WATOTO CHEZEA CHANDIMU WEWE JITIRIRISHE HII...

NAAMINI UMECHEZA SOKA ENZI UKIWA MDOGO, HIZI NDIYO SHERIA TULIKUWA TUNAZITUMIA NA IKIWEZEKANA KILA MKOA, WILAYA NA KITONGOJI ZILIFANANA KABISA!1. dogo mnene lazima aweGolikipa2. Mwenye mpira ataamua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA ALGERIA KUCHANGIA $ 9 M PESA WALIZOPATA KWENYE WORLD CUP WASIOJIWEZA...

Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Algeria ilishoshiriki kombe la Dunia wamesama fedha walizopta kwa kuingia kundi la timu 16 kwenye mashindano hayo ya kombe la Dunia ambazo zinakadiriwa kufikia milini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INASIKITISHA SANA NA HUU UOZO KATIKA HOSPITALI YA PALESTINA SINZA DAR ES...

Mgonjwa akiwa hoi hospitalini bila huduma. UOZO MAHOSPITALINI... OFM YAIFUNGIA KAZI PALESTINA.Katika habari hiyo, mapaparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ walitinga Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO UKATILI HUU ULIOFANYWA NA MWANASHERIA MAARUFU NCHINI KWA BINTI HUYU...

1.  Ndugu Wanahakati.2.  Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili.Wasalaam.Mtoto MELINA amakumbwa na matatizo makubwa sana. Anahitaji msaada wetu sote kama Watanzania na wapenda haki.Melina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe amshangaa Pinda kuhusu Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.PHOTO|FILE  Kwa ufupiAkizungumzia kauli hiyo na kituo cha Radio One jana asubuhi, Mbowe alisema: “Nashindwa kujua Waziri Mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tahadhari ya mashambulizi Uganda

Polisi wako macho mjini Kampala Polisi nchini Uganda wamedhibiti usalama mjini Kampala kufuatia onyo la mashambulizi ya kigaidi kupangwa kufanywa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebe.Maafisa...

View Article

TAARIFA MUHIMU SANA KWA WANAFUNZI KUTOKA BODI YA MIKOPO: TAHADHARI KWA...

TAHADHARI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUHUSU KUZUKA KWA GENGE LA MATAPELI WANAODAI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI KWA WATOTO WAKE

Mwili wa Mawazo Wilbard Kazungu (31) ukiwa nyumbani kwake ukining'inia baada ya kujinyonga katika chumba cha kulala watoto wake . Eneo la chumba ambako alikaa kitandani na kunywa dawa ya kuoshea mifugo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPENZI WA SOCCER MAREKANI WAIOMBA WHITE HOUSE KUIBADILISHA JINA REAGAN...

Soccer fans to immortalize U.S. goalkeeper Tim Howard by renaming an airport in his honor.America is caught in Tim Howard fever, and rightfully so. There was a magic confluence that saw him play at his...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIKUMBUSHE MITAA YA KARIAKOO

Hii ni Mitaa ya Kariako najua wengi wenu mnaokaa huko ughaibuni mitaa mingine mtakuwa mmeisahau.1. Kikambawe, 2. Mafia, 3. Jangwani, 4.Simba, 5.Congo, 6. Mkunguni.7. Pemba, 8.Sikukuu, 9. Livingtone,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALKIA NOMSA MATSEBULA WA SWAZILAND AZURU TANZANIA KWA MWALIKO WA MKE WA...

Malkia wa Swaziland Mheshimwa Nomsa Matsebula akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Ndugu Nurdin Babu mara baada ya helikopta iliyomchukua kutua kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Nyamisati huko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANUARY MAKAMBO ATIRIRIKA NA KUSEMA 90% YEYE KUINGIA KINYANG'ANYIRO CHA URAIS

Mazungumzo ya Salim Kikeke na January Makamba kuhusiana na katiba mypa na rais atakayechukua 'mikoba' ya Jakaya Kikwete.

View Article
Browsing all 45972 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>