Quantcast
Channel: VIJIMAMBO
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAMLILIA KENNETH KIDAGO LYANGA

Mwili wa Marehemu ukibebwa kutoka Kanisani tayari kwa Safari.Mke wa marehemu Akilia kwa UchunguMkuu wa Kitengo cha Rasilimali watu EATV, Mama Mary Nnko akielekeza jambo kwa Ndugu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA SHEREHE YA MIAKA 37 YA CCM MKOANI MBYEYA

 Mwenyekiti CCM Taifa Rais Jakaya Kikwete akiwasili kwenye uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine jijini Mbeya kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi yaliyofnyika leo Jumapili Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAVUNJA MWISHO WA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA

Mshambuliaji mwenye speed 120 wa timu ya Yanga, Mrisho Ngassa (kuashoto) akichuana kuwania mpira na beki wa Mbeya City, Deogratias Julius, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, JOHN CASMIR MINJA AHUDHURIA SHEREHE ZA...

Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Namibia anayemaliza muda wake, Evaristus Shikongo(katikati) akipokea Salaamu ya heshima toka kwa Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Magereza wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy Birthday! Vijimambo

Birthday and warm wishes are coming to your way from all of us over here.We wish you healthy, long and stable years to come.You are ideal for us to reach to our clients, Great Job and keep it...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA TANZANIA NA NEW YORK

Familia ya Nestor Mwombeki Rweyemamu ya Mt. Vernon New York inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Theonestina Rweyemamu kilichotokea Feb 1st 2014. Valhalla New York.Marehemu ni mama yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA MAPINDUZI DMV KUADHIMISHA MIAKA 37 FEB 22, 2014 TABEER

TUNAPENDA KUWAALIKA WANACHAMA NA WATANZANIA WOTE KATIKA SHEREHE YA MIAKA 37 YA KUZALIWA KWA C C M ITAKAYOFANYIKA TAREHE 22 MWEZI HUU 22/2/14 KUANZIA SAA 10 JIONI TABEER HALL LANGLEY PARK CHINI YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MDOGO WA UWAKILISHI...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Kituo chake cha kupigia Kura, kwa ajili ya kushiriki kupiga kura ya kumchagua Mwakilishi wa Jimbo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM kidedea jimbo la Kiembe samaki, yashinda kwa 77%

Ndugu Mahmoud Thabiti Kombo Mahmoud Thabit Kombo mgombea kwenye uchaguzi mdogo kwa tiketi ya CCM ameibuka mshindi kwa asilimia 76.5 kwenye uchaguzi mdogo wa uwakilishi uliofanyika leo Jimbo la Kiembe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PITIA HII LABDA UTAPATA SOMO KIDOGO SIKU UKIENDA UKWENI USIJE UKALA MCHUNGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNAKARIBISHWA NA FRIENDS OF TANZANIA KWENYE MNUSO DMV

View Article

HABARI YA MUJINI NI OMMY DIMPOZ NDANI YA JIJI LA WAJANJA JUMAMOSI IJAYO

Ommy Dimpoz in Oakland, CA Feb 8th 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU KUBWA ZIMEZUKA MOMBASA KENYA NA KUZUA MTAFARUKU MSIKITINI WENGI...

Askari akijihami wakati wa vurugu kubwa zilizozuka leo majira ya jioni Jiji la Mombasa wakati Waumini wa dini ya Kiislamu wa Msikiti 'Masjid Mussa' ambapo waumini hao wamedaiwa kuwa walikuwa wameandaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAFLA YA KUMUAGA RASMI KAMISHNA JENERALI ALIYESTAAFU WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA

 Kamishna Jenerali wa Magereza Mstaafu  Evaristus Shikongo (amesimama katika Jukwaa) akitoa hotuba fupi mara baada ya kukabidhi rasmi Madaraka ya Uongozi wa Jeshi la Magereza Nchini Namibia  kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA MH:MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA TUNDUMA...

Naibu waziri wa Fedha Mh;Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo kwa Wafanyabiashara wa Mji wa Tunduma hii leo alipokutana nao kwenye Mkutano wa ndani kwenye Ukumbi wa High Class One akizungumza nao kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA/ MAISHA PLUS

Fomu zaidi ya 4,000 za Mama Shujaa Maisha Plus zakusanywaMajaji 9 kusimamia zoezi la kuchaguwa wakulima wanawake 20 na vijana 45Afisa utetezi wa haki za kiuchumi wa OXFAM Mkamiti Mgawe akielezea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI

 Wakili  wa Serekali Mfawidhi mkoa wa Dodoma, Angaza Mwaipopo akifafanua jambo wakati wa sherehe ya siku ya sheria mjini Dodoma leo.Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Dodoma, Crecensia Makuru...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali kiitwacho Tilonia, Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA, KAJALA, AUNT WAFUNIKA TRIPLE A JIJINI ARUSHA

Kajala, Wema, Aunt na Zamaradi wakiwa katika pozi tofauti.....Wakiwa pamoja na Mirror tayari kwa ajili ya kwenda kwenye Show, klabu ya Triple A.kwa picha zaidi bofya soma zaidiWema Sepetu, Aunt Ezekiel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO & FINLAND PREMIER IN THE SHOES OF YOUNG GLOBAL LEADERS‏

Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL), Chief Executive Officer, Mohammed Dewji shares a light moment with the Finland Prime Minister Jyrki Katainen at the Finland Embassy in Dar es Salaam during...

View Article
Browsing all 45981 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>